Unajua kwanini Qatar na Saudia walipigana vita vya baridi?
Kwa sababu Qatar alikuwa anasapoti Somalia, turkey, Hamas, Muslim brotherhood, na brotherhood wa Egypt
Saudia akawa na msimamo tofauti ndio wakawa mahasimu mpaka kufungiana mipaka na kufunga biashara
Qatar alikuwa anategemea sana Saudia hata maziwa na cheese na nyama akafunga
Unakumbuka yule tajiri wa Qatar aliebeba ng'ombe kwa ndege?
Ili wafugwe kwa ajili ya maziwa?