Kufanya kazi Serikalini ni kutamu

Kite Munganga

Platinum Member
Nov 19, 2006
1,773
952
Yaani mpishi anakuwa na mhudumu wake wa kumtengea vitunguu na kisu? kweli tungali mbali na mwanga...au ndio ajira zilizotajwa na ilani ya CCM?


17.0 MHUDUMU WA JIKONI/MESS DARAJA LA II (KITCHEN/MESS ATTENDANT) –

NAFASI 39

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo,
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, na Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga,
Ruangwa.
17.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kusafisha Vyombo vya kupikia.
 Kusafisha Vyombo vya kulia chakula.
 Kusafisha Meza itumiwayo kwa kulia chakula.
 Kuwatayarishia Wapishi/Waandazi vifaa vya Mpishi na Mezani.
 Kusafisha maeneo ya kulia chakula na kupikia.
 Kuwasaidia Waandazi na Wapishi.
17.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne


http://www.pmoralg.go.tz/documents_storage/2012-5-25-15-38-38_tangazo la kazi-25 mei 2012.pdf
 
nlifanya field wizara ya habar unakuta mpish anatingwa so anaitaj msaada ofis kubwa na watu wengi, ACHA UJUHA WEWE MTOA MADA.
 
sasa mwenzetu wewe ulitaka chef/mpshi ndie huyo huyo awe anatayarisha meza na kupeleka chakula mezani? huoni kuwa kuna kazi mbili tafauti hapo, kuna mpishi/chef na mhudumu/waiter? Tatizo sisi watanzania tunapenda mno kulalama.
 
ashazoea nyumbani kwake anapika na kuandaa mwenyewe, this is profession bana na watu wamesomea na vyeti wanavyo!
 
kweli nimerudi tena JF , hu hu hu hu . :A S thumbs_down: kewa mtoa mada
 
Yaani mpishi anakuwa na mhudumu wake wa kumtengea vitunguu na kisu? kweli tungali mbali na mwanga...au ndio ajira zilizotajwa na ilani ya CCM?


17.0 MHUDUMU WA JIKONI/MESS DARAJA LA II (KITCHEN/MESS ATTENDANT) –

NAFASI 39

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo,
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, na Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga,
Ruangwa.
17.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kusafisha Vyombo vya kupikia.
 Kusafisha Vyombo vya kulia chakula.
 Kusafisha Meza itumiwayo kwa kulia chakula.
 Kuwatayarishia Wapishi/Waandazi vifaa vya Mpishi na Mezani.
 Kusafisha maeneo ya kulia chakula na kupikia.
 Kuwasaidia Waandazi na Wapishi.
17.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne


http://www.pmoralg.go.tz/documents_storage/2012-5-25-15-38-38_tangazo%20la%20kazi-25%20mei%202012.pdf

hapa si hata wale 5000+ wasiojua kusoma na kuandika wangekumbukwa jamani!
 
sasa mwenzetu wewe ulitaka chef/mpshi ndie huyo huyo awe anatayarisha meza na kupeleka chakula mezani? huoni kuwa kuna kazi mbili tafauti hapo, kuna mpishi/chef na mhudumu/waiter? Tatizo sisi watanzania tunapenda mno kulalama.
Hiyo nafasi iliyotangazwa kwa kiingereza inaitwa Chef Steward
 
anaeona wasaidizi hawaitajiki, hajawahi kupika au kama anataka kujifunza kitu aangalie waandaaji wa shughuli kama hawaitaji wasaidizi, af achukue mazingira ayo ayapeleke ofisi husika aone uhalisia
 
sasa mwenzetu wewe ulitaka chef/mpshi ndie huyo huyo awe anatayarisha meza na kupeleka chakula mezani? huoni kuwa kuna kazi mbili tafauti hapo, kuna mpishi/chef na mhudumu/waiter? Tatizo sisi watanzania tunapenda mno kulalama.

Hilo ni tatizo la Chadema, na wengi wao wanatoka ule mkoa wa wajasiliamali, basi wanadhani hapo ni kubana matumizi kama wanavyowatumikisha wake zao kutengeneza Mtori.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom