Gojaga Nize
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 3,177
- 2,538
gggggggggggg
Last edited by a moderator:
Heheheheheeeeeeer
Habari za usiku huu wana mmu.
Wiki kama mbili nilitoa ushuhuda juu ya faida za vitunguu saumu, tangawizi, asali na mazoezi ya mwili kwa ujumla jinsi zilivyonisaidia kuongeza ufanisi kwenye 6 kwa 6
Napenda kusisitiza kuwa kuna watu wanamatatizo kama nililokuwa nalo mimi lakini hawataki kuchukua hatua. Kwanini uendeleekuteseka na tatizo la nguvu za kiume wakati suluhisho lipo?
Sasa, mimi hapa @Gojaga nize naomba mdada yeyote aliye singo na yuko tayari kufahamiana na mimi aje pm ili tupange tutaonana vipi ili tufahamiane. Lengo la kufahamiana ni ili aje atoe ushuhuda kama kweeli ninachokiongea kiko sahihi ili kusaidia vijana wazito wa kuelewa.
Mi kwasasa nipo Dodoma. Single ladies changamkia fursa ya kupata kitukizuri weekend hii.