Hii komenti isingekuja hapa ningeshangaaSawa mkuu, tayari tumesha fahamu kwamba unamiliki chuma ya mjep's.
Lakini kuendesha gari kwa mkono mmoja ni uendeshaji usio salama sana
Duhhhh......Hata mimi hivyo hivyo nikishika kwa mikono miwili nakuwa siko comfortable, halafu mbaya zaidi ninaendesha kwa miguu miwili hata automatic mguu wa kushoto ndo unashika brake wanasema ni risk lakini nikijaribu acha nikatumia wa kulia nashindwa. Ni mwaka wa 12 sasa na sijawahi pata ajali.
Naweza kuwa naendesha Uber ya boss au kiyoriyori cha boss, au dereva wa mtu hivyo usikariri kuwa kila anayeendesha gari ni lake. By the way siku hizi magari bei chee tu hata milion 3.5 unapata baby walker nzuri tu.Duhhhh......
Humu ndani naona nimimi tu ndie sijamiliki chuma hapa mjini...
Nawewe naomba nikupe pongezi mkuu...
Naweza kuwa naendesha Uber ya boss au kiyoriyori cha boss, au dereva wa mtu hivyo usikariri kuwa kila anayeendesha gari ni lake. By the way siku hizi magari bei chee tu hata milion 3.5 unapata baby walker nzuri tu.
Kwani ushamba ni mali yako ama yangu...Punguza ushamba.
Kipi cha ajabu mtu kuendesha gari?
Ukute una vitz mtelezoDahh aiseeh mazoea hujenga tabia yan nilishajizoesha kuendesha gar na mkono mmoja leo nimejaribu kushika usukan kwa mikono miwil bado kidogo nifanye blanda dahhh
Hiv ni mm tu nimekuwa hiv ?
Basi sawa mkuu.... ndiyo uzuri wa maishaDahhhh...
Hapo ndipo unanichanganya zaidi kwa kiyoriyori, walker babe na Uber pia ni gari za mjapani kwani...
Alafu mkuu ebu punguza dharau kwanza... Maana hiyo 3,500,0000 kwetu ni mkasi wa kujadiliwa na familia nzima ndipo iweze kutumika..
Hata mimi hivyo hivyo nikishika kwa mikono miwili nakuwa siko comfortable, halafu mbaya zaidi ninaendesha kwa miguu miwili hata automatic mguu wa kushoto ndo unashika brake wanasema ni risk lakini nikijaribu acha nikatumia wa kulia nashindwa. Ni mwaka wa 12 sasa na sijawahi pata ajali.
Nikweli mkuu, but life isn't good but sweet...Basi sawa mkuu.... ndiyo uzuri wa maisha
Dahh si mchezo aseehHata mimi hivyo hivyo nikishika kwa mikono miwili nakuwa siko comfortable, halafu mbaya zaidi ninaendesha kwa miguu miwili hata automatic mguu wa kushoto ndo unashika brake wanasema ni risk lakini nikijaribu acha nikatumia wa kulia nashindwa. Ni mwaka wa 12 sasa na sijawahi pata ajali.
Watu mna dharau kwani gari ni nini? Ni yale madini ya Laizer?Ukute una vitz mtelezo
Anyway hongera kwa kununua gari
Iko kibaby walker kuna siku nilipataga lift,kiko very comfortable 😀Ukute una vitz mtelezo
Anyway hongera kwa kununua gari
Dahh aiseeh mazoea hujenga tabia yan nilishajizoesha kuendesha gari na mkono mmoja leo nimejaribu kushika usukan kwa mikono miwil bado kidogo nifanye blanda dahhh
Hiv ni mm tu nimekuwa hiv ?
Sawa nakubali hongera ww unaemiliki gari kubwa na zuri ipo siku tutaongea lugha mojaMkuu, unamiliki gari kweli? au unamiliki chombo cha usafiri tu.
Maana isijekuwa tunachoma bundle zetu kwenye siredi yako hii kumbe unatujadilisha baby walker ya mjapan!!