Kuendesha Gari Barabara Kuu Sasa ni Kero: Alama za 50km/hr Zinapaswa Kupitiwa Upya

Hujui wewe!! Subiri madereva tukuelekeze... Gari kubwa na zile za abiria wanatembea 30, 50 na 80 ila gari ndogo 30,50,80 na ukiweza maliza plate
Hebu tuingie Google tusome "driving speed limit in Tanzania"
. Kuna vitu tutajifunza na kuacha kutumia hisia.Nikiwa na maana Hata kama utakimbia kwa speed Fulani na askari akakusimamisha na kukuhoji use na mwanga basi.
 
.Mimi naendesha la mume wa dada yangu (shemeji).

Wewe unayeendesha la kwako tumetofautiana nini?.

Unasema balehe inanisumbua, wewe ambaye umebalehe zamani mbona una waza upande mmoja?.

Kama kigezo ni namna lilivyosukwa, shemeji yanyu hawezi ninunulia lililosukwa hivyo?.

Kua na busara maana hujui unaongea na nani, USIJEKUTA UNAONGEA NA BABAKO MDOGO KWA KEJELI DOGO.
Shikamoo baba mdogo!
.Mimi naendesha la mume wa dada yangu (shemeji).

Wewe unayeendesha la kwako tumetofautiana nini?.

Unasema balehe inanisumbua, wewe ambaye umebalehe zamani mbona una waza upande mmoja?.

Kama kigezo ni namna lilivyosukwa, shemeji yanyu hawezi ninunulia lililosukwa hivyo?.

Kua na busara maana hujui unaongea na nani, USIJEKUTA UNAONGEA NA BABAKO MDOGO KWA KEJELI DOGO.
Shikamoo Baba Mdogo.

Usiku wa kuamkia leo, basi la Super Feo limeacha njia na kupinduka. Limeua mmoja na kujeruhi wawili. Chanzo cha ajali ni mwendo kasi
 
Tanzania nzima mwisho ni 80 km/saa, na kuna sababu za msingi kuamua hivyo, hapa maslahi ya Watanzania yamewekwa mbele na siyo baadhi ya watu wenye V8, hutaki hama nchi!
BASI FANYENI 50km/h kutoka Dar mpaka Mwanza na kwingineko maana watu sasa wanazaliana na vijiji vinaongezeka tujue moja na MATUTA MTAWEKA KOTE MANA KILA MAHALI VITAKUWEPO HVYO VIBAO.
MIE NASHANGAA KAMA TOCHI ZIPO MATUTA YA NINI, KUUA GARI ZETU!
 
Shikamoo baba mdogo!

Shikamoo Baba Mdogo.

Usiku wa kuamkia leo, basi la Super Feo limeacha njia na kupinduka. Limeua mmoja na kujeruhi wawili. Chanzo cha ajali ni mwendo kasi
Marahaba mwanangu.
Pole kwa yaliyotokea,Tunapozungumzia mwendo kasi ukumbuke na ubora wa gari na umakini wa dereva vinahitajika sana. Namadereva wengi wa mabasi ya abiria wanasababisha ajali sababu ya ushabiki ukumbuke hilo.
Hivyo mwendo kasi waweza ua na usiue pia. Poleni sana kwa ajali.
 
Walioweka vile vibao wana akili kama zako - kudhani kwamba ni sawa pale bonde la mto Wami kumwambia mtu anayeendesha semi trailer lenye mzigo wa mafuta wa lita 35,000 aendeshe gari kwa spidi ya 50km/hr, sawa na mtu anayeshuka na Landcruiser V8 au Mark II? Ndio maana nikasema wengine mnachangia hii thread hamna magari na wala sio madereva. Wala sintakuuliza kama unajua physics na laws of motion.
kiongozi wewe unajiangalia mwenyewe tumeanza kumiliki magari hujazaliwa kipindi magari yanajulikana kwa number za mikoa siyo wewe unamiliki leo,Nyie ndo mnaosababishaga ajali kila kukicha kwa ulimbukeni wa kuendesha hayo magari unataka wewe ushuke na 160 na ukikutana na mwenzako anakuja mbele yuko na 50 unategemea nini pili ukiwa unaendesha uwe unaelewa kila speed zina umbali wa kusimama kukitokea dhararu.
 
Nilishasema juu ya vibao hivyo vy a speed 50. Toka Tinde uende Kahama utaona Keri vijiji Havana waitu unahitajika utembee limiti ya 50. Mahaka pengine kuna km 1 utembee km 50 kwa sasa hapo nipo utakuja Tanzania tunapoteza nguvu Kazi. Baada ya kukimbia uwahi kufanya Kazi zataifa unacheza unyago barabani. Kisa kama ni watu basi Dar ambapo kuna watu wengi yote tuendeshe Saidi 30.
SAsa na std gauge na yenyewe itapunguzwa speed kama kivuko cha Bagamoyo. Mkuu aangalie hilo awambie akiwa anakwenda home wafuate speed limit aone inavyo leta kero
 
Hebu tuingie Google tusome "driving speed limit in Tanzania"
. Kuna vitu tutajifunza na kuacha kutumia hisia.Nikiwa na maana Hata kama utakimbia kwa speed Fulani na askari akakusimamisha na kukuhoji use na mwanga basi.

The permitted blood alcohol level is 0.08 %. The speed limit in urban areas is 50 km/h (31 mph), outside urban areas – 80km/h (50 mph). The police phone numbers are 112 and 999.
Driving in Tanzania
www.adcidl.com/Driving-in-Tanzania.html
 
Halafu wewe ni mzee wa fix... hapa unaleta porojo za vijiweni tu... Sana sana wewe ni kati ya hawa madereva wengi wanaojifunzia vichochoroni na kununua leseni, Unaonekana hata maana ya alama ya barabarani hujui sembuse kujua ni kwanini zimewekwa!

Nahisi na wewe ni wale polisi waliopata Div 4 zero ya form four, au wa zamani wa darasa la saba. Kazi kupokea amri bila kutafakari au kutumia akili zako panapokuwa na utata.
 
Sheria zinatungwa ili zisaidie jamii na wala siyo kufanya watu wawe watumwa wa sheria. Hata hivyo, wajinga na wapumbavu wakisimamia sheria, wananchi hufanywa watumwa wa sheria hizo.

Mkuu, kitu kimoja nimegundua humu ndani, wanaotoa point za kijinga sana eidha ni polisi wenyewe, au watu ambao hawajui kuendesha gari na wamekwisha kata tamaa ya kuja kununua angalau hata ka-used Corolla ka mwaka 1990. Kwa hiyo wao wako against madereva na wenye magari kwa kusumbuliwa na gubu tu.
 
kiongozi wewe unajiangalia mwenyewe tumeanza kumiliki magari hujazaliwa kipindi magari yanajulikana kwa number za mikoa siyo wewe unamiliki leo,Nyie ndo mnaosababishaga ajali kila kukicha kwa ulimbukeni wa kuendesha hayo magari unataka wewe ushuke na 160 na ukikutana na mwenzako anakuja mbele yuko na 50 unategemea nini pili ukiwa unaendesha uwe unaelewa kila speed zina umbali wa kusimama kukitokea dhararu.

Nina maneno matatu tu kwako. Soma Thread Uelewe.
 
Hiyo gharama ya kuendesha V8 umbali mrefu, kwa nini usipande ndege?? Tii sheria, mkipata ajali nyie ndio wa kwanza kulalamika kuwa polisi wazembe,

Soma thread uelewe acha kiherehere cha kujibu bila kuelewa mada.
 
Nina maneno matatu tu kwako. Soma Thread Uelewe.
Alama za barabarani zimewekwa ili kuokoa maisha ya watu hivyo zingatia alama hizo.kama watu wangelikuwa wanataka kuendesha kama watakaavyo nini kingetokea? Fuata sheria
 
Marahaba mwanangu.
Pole kwa yaliyotokea,Tunapozungumzia mwendo kasi ukumbuke na ubora wa gari na umakini wa dereva vinahitajika sana. Namadereva wengi wa mabasi ya abiria wanasababisha ajali sababu ya ushabiki ukumbuke hilo.
Hivyo mwendo kasi waweza ua na usiue pia. Poleni sana kwa ajali.
Ajali zinasababishwa na mambo mengi, lkn cha msingi ni KUPUNGUZA MADHARA YANAYOWEZA KUTOKEA ENDAPO AJALI ITATOKEA.

Wewe unajinadi na chombo chaku kuwa ni kizuri, je vyombo vya adereva wengine unavidhibiti vipi ukiwa ndani ya gari lako? Kushuka Wami mathalan, kumewekewa mwendo ule sababu ya mteremko na kona. Sasa ikiwa vyombo vingine hushindwa kumaliza mlima, na wewe ndio uko hizo spidi zenu za ushabiki, kwenye kona unakutana na lori limeegeshwa emergency, na mwingine anakuja opposite direction na tayari anatumia lane ya pili, huoni kuwa ni ajali hiyo tayari?

Tujifunze kuwa na subira. Mwendo kasi si hoja iliyopo Tanzania peke yake, mwendo kasi unaua.
 
Back
Top Bottom