Kuelekea uchaguzi mkuu, CCM inateua Katibu Mkuu na Mwenezi Taifa wapya. Seriously?

Kuelekea uchaguzi mkuu, CCM inateua Katibu Mkuu na Mwenezi Taifa wapya. Seriously?

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,946
Reaction score
38,656
Kamati Kuu imewateua makada wake
  1. Asha Rose Migiro - Katibu Mkuu
  2. Kenan Kihongosi - Mwenezi Taifa
Uteuzi huo unafanyika mwezi mmoja kabla ya Uchaguzi Mkuu.

Sasa naanza kuamini kwamba suala la Uchqguzi Mkuu siyo gumu kwa CCM. Mifumo imeshakamilisha ushindi wa kishindo kwa CCM


Polepole amekuwa muungwana sana.
 
Makalla hakuwa mtu sahihi wa hiyo nafasi. Wafuasi wake msinishambulie.

Mwenezi anahitajika mtu asiye na kithembe cha ulimi na ubongo[good articulation].
 
kufuatia 2020 kuja 2024 ni dhahiri 2025 ni easy win kwa ccm
 
Kamati Kuu imewateua makada wake
  1. Asha Rose Migiro - Katibu Mkuu
  2. Kenan Kihongosi - Mwenezi Taifa
Uteuzi huo unafanyika mwezi mmoja kabla ya Uchaguzi Mkuu.

Sasa naanza kuamini kwamba suala la Uchqguzi Mkuu siyo gumu kwa CCM. Mifumo imeshakamilisha ushindi wa kishindo kwa CCM


Polepole amekuwa muungwana sana.
Ilikuwa ni muhimu katibu Mkuu ateuliwe mpya; kwa kuwa aliyepo ni mgombea mwenza.. ni vizuri ukibadilisha Katibu Mkuu ubasiliahe pia mwenezi wake ili kutengeneza combination.. nafikiri uteuzi wa Dr Migiro ni uteuzi mzuri..
 
Kamati Kuu imewateua makada wake
  1. Asha Rose Migiro - Katibu Mkuu
  2. Kenan Kihongosi - Mwenezi Taifa
Uteuzi huo unafanyika mwezi mmoja kabla ya Uchaguzi Mkuu.

Sasa naanza kuamini kwamba suala la Uchqguzi Mkuu siyo gumu kwa CCM. Mifumo imeshakamilisha ushindi wa kishindo kwa CCM


Polepole amekuwa muungwana sana.
Ilikuwa ni muhimu katibu Mkuu ateuliwe mpya; kwa kuwa aliyepo ni mgombea mwenza.. ni vizuri ukibadilisha Katibu Mkuu ubadilishe pia mwenezi wake ili kutengeneza combination.. nafikiri uteuzi wa Dr Migiro ni uteuzi mzuri..
 
Back
Top Bottom