Kuelekea pambano la Yanga vs TP Mazembe!!

Freyzem

JF-Expert Member
Jun 29, 2013
10,049
24,428
Katika mtanange wa makundi kombe la dhirikisho klabu ya yanga itachuana na Tp Mazembe katika uwanja wa taifa!!
Je kuelekea mtanange huo kuna haja ya Yanga kutaka mashabiki wa timu hiyo pekee kuingia uwanjani bila kuwapa nafasi mashabiki kutoka timu nyingine esp wapinzani wao wa jadi kuingia uwanjani..? Ni sababu zipi kubwa zinazowafanya yanga kutaka kuthibiti mashabiki kutoka timu nyingine..
 
:DYanga wajitahidi wasituangushe bana. Wasikubali goli zaidi ya tatu. Angalau wakipigwa mbili au tatu tutawaelewa:D:D:D
 
duuu hii kitu iko kote #Africa coz nakumbuka Yanga vs APR mashabiki wa #Rayonsport waliishangalia #YANGA...hapo nagundua somo la #CIVICS/URAIA bado ni muhimu sana kwa nchi za Kiafrika that why wale #whitecolours hawakupata shda kukutawala ukipewa kioo tu unasaliti #Kijiji kizima...#PATRIOTISM#
 
Hao mazembe hawajui kua baba yao amefungwa miaka mi3?huu muda walitakiwa wawe wanafanya maombi mzee wao apone japo apunguziwe.
 
duuu hii kitu iko kote #Africa coz nakumbuka Yanga vs APR mashabiki wa #Rayonsport waliishangalia #YANGA...hapo nagundua somo la #CIVICS/URAIA bado ni muhimu sana kwa nchi za Kiafrika that why wale #whitecolours hawakupata shda kukutawala ukipewa kioo tu unasaliti #Kijiji kizima...#PATRIOTISM#
Nakubaliana wewe lakini kwa kizazi hiki hilo linaweza lisifue dafu...
 
dooh... Leo nimekaa taifa kapita kolo mmoja et anauza jezi za tp na machoko wengine wanazinunua
Wanatumia fursa! Ujasiriamali huo..alafu wengine waweza kuwa ni wakutoka kenshasa...
 
Katika mtanange wa makundi kombe la dhirikisho klabu ya yanga itachuana na Tp Mazembe katika uwanja wa taifa!!
Je kuelekea mtanange huo kuna haja ya Yanga kutaka mashabiki wa timu hiyo pekee kuingia uwanjani bila kuwapa nafasi mashabiki kutoka timu nyingine esp wapinzani wao wa jadi kuingia uwanjani..? Ni sababu zipi kubwa zinazowafanya yanga kutaka kuthibiti mashabiki kutoka timu nyingine..
Kwanini mnawaita mashabiki wa simba wakati yenyewe haichezi?
Kwanini msiwaite mashabiki wa TP?
 
Tatizo hili haliepukiki mpaka pale itakapofikia kila timu inatumia uwanja wake binafsi. Na kupewa haki ya kuuza tiketi zao wenyewe. Mpira Bongo ni magumashi na mizengwe mitupu. Ndio maana watu wengi tumeachana nao tumeamua kufuatilia ligi za mpira wa kulipwa.
 
Back
Top Bottom