optimus prime
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 401
- 287
Unaujauzito wa hilo gazeti. Wajawazito huwa wana chefukwa na kitu bila sababu za msingi nililiona hilo kwa mke wangu.Ulipo linukuu tu hilo gazeti, tayari umeondoa credibility ya habari nzima.
Unaujauzito wa hilo gazeti. Wajawazito huwa wana chefukwa na kitu bila sababu za msingi nililiona hilo kwa mke wangu.Ulipo linukuu tu hilo gazeti, tayari umeondoa credibility ya habari nzima.
Huwezi kuvunja credibility ya habari sababu wewe una personal grievance na gazeti. Kama waandishi wamekwenda na kumuhoji mkurugenzi na akawapa hizo data misioni tatizo hapo.Ulipo linukuu tu hilo gazeti, tayari umeondoa credibility ya habari nzima.
Ya mi ndo mke wako na hii Ndo hii ID yangu mume wanguUnaujauzito wa hilo gazeti. Wajawazito huwa wana chefukwa na kitu bila sababu za msingi nililiona hilo kwa mke wangu.
Ya mi ndo mke wako na hii Ndo hii ID yangu mume wangu
Ulipo linukuu tu hilo gazeti, tayari umeondoa credibility ya habari nzima.
Hawajajipanga, ila nadhani wapingaji ndo mmekosa cha kupinga, maana data zinawaumbua.hili bandiko lumumba mmejipanga
Naogopa kusema sana nisijejulikana. Ila nawaambieni mimi najua kuliko hilo gazeti. Kitu walichofanikiwa hawa watawala wa sasa ni kupunguza idadi ya wakwepa kodi na watu huwa wanachanganya sana mapato wanayokusanya TRA bandarini na mapato ya TPA.Katika yoote aliyoyasema ni moja tu yuko sahihi sasa hivi ni wao kwa wao tu ndo wanaoinngiza mizigo bila kodi kama yale makontena ya naniliu. Lakini mengine yote wameyakuta yanazidi kuzorota siku hadi siku. Nafikiri katika viongozi wabovu waliowahi kutokea TPA huyo anashika namba mbili akimfuatia Kipande. Na kama wataendelea hivi Mungu atunusuru huko mbele nitakuja tena hapa kuelezeaNdio msingi wa nadharia ya utoaji huduma, lazima ukae na wadau ili usikilize changamoto zao. Wasingekaa na wadau wangejuaje kama kumbe uwezo wa kufikia mapato ya trilioni 1 siyo ndoto kama wataendelea kuborosha utendaji wao na namna ya utoaji huduma ili waendelee kuwavutia hao waliokimbilia Mombasa na kama hujui mkakati wao jamaa utatimia na wateja wote watarudi sababu jamaa wanatumia mabilioni mengi kweli kwenye kuboresha miundombinu ili bandari iwe ya kisasa.
Mkuu na timu yake wanastahili pongezi sana,nakumbuka wakati ana sweep kelele za wapigaji zilikua nyingi mno
Hakuna mbunge/diwani anayejiuzulu uwakilishi bali hujitoa kwenye vyama vyao tu,uwakilishi unachukuliwa na katiba kwa sab haitambui muwakilishi binafsi,hivyo hana budi kutetea nafasi yake.Inakuaje mbunge aliyejiuzuru kwa kutaka mwenyewe apewe nafasi ya kugombea upande wa pili?
Kama hujui kusoma, hata picha huioni?
Anzisha uzi kuhusu deni la taifa,hapa ni kuhusu mapato ya bandari kuongezeka baada ya maboreshoMkuu ni jambo zuri kwa maendeleo hayo. Je tunaweza kuambiwa deni la taifa limekuwa kwa kiasi gani katika kipindi hicho? Hapa tunaweza pia kupima uwiano wa haya maendeleo na deni letu.
Anzisha uzi kuhusu deni la taifa,hapa ni kuhusu mapato ya bandari kuongezeka baada ya maboresho
Nasubiri jibu la swali hilitindo said:Mkuu ni jambo zuri kwa maendeleo hayo. Je tunaweza kuambiwa deni la taifa limekuwa kwa kiasi gani katika kipindi hicho? Hapa tunaweza pia kupima uwiano wa haya maendeleo na deni letu.
Nasubiri jibu la swali hili
Heshima kwako mkuu.Ya mi ndo mke wako na hii Ndo hii ID yangu mume wangu
Huna hata aibu hebu pitia takwimu za bandari ya mombasa uone ilivyoporomoka kwenye idadi ya wateja wake,acha uongoNyinyi ni waongo sana wakati wiki iliyopita wafanyabiashara walikaa na mawaziri watatu; waziri wa fedha, uchukuzi na viwanda. Wafanyabiashara wanapitishia bidhaa zao kenya, Mombasa leo nawashanga eti mapato yamepaa huu ni uwongo mtakatifu endeleeeni na ujinga wenu
Kwani lowassa alipoacha ccm akaja chadema kwa kutaka mwenyewe kwanini mlipa nafasi ya kugombea bila kujiuliza hilo swali,Inakuaje mbunge aliyejiuzuru kwa kutaka mwenyewe apewe nafasi ya kugombea upande wa pili?
Kama hujui kusoma, hata picha huioni?