mimi nimeshazima laini za tigo na airtel,nimebaki na voda.
Hivi umeme unaopelekwa vijijini ni upi?
Ni umeme wa solar,upepo,gesi au maji?
Je vijiji vikishapata umeme kodi hii itafutwa?
maendeleo mnataka, kulipakodi hamtaki?! nahisi kama mnatumia downstairs kufikiri....
Hawa watu wana matatizo sana. Badala ya kusisitiza kodi itumike ipasavyo, wao hawataki kulipa! halafu wanataka elimu bure, afya bure, barabara nzuri, maji kila mtaa...
acha kutumia ma------ kufikiri.maendeleo mnataka, kulipakodi hamtaki?! nahisi kama mnatumia downstairs kufikiri....
kama ni hivyo,kila kijiji kijichangie kwa ajili ya umeme,maji,barabara n.kHawa watu wana matatizo sana. Badala ya kusisitiza kodi itumike ipasavyo, wao hawataki kulipa! halafu wanataka elimu bure, afya bure, barabara nzuri, maji kila mtaa...
acha kutumia ma------ kufikiri.
Kusanyeni kodi kwenye madini mbuzi nyie!
hawa watu wana matatizo sana.walipoambiwa wapanue uwigo wa ukusanyaji kodi ndio wameibuka na hili..tunapiga kelele za kuchukua kodi kwenye madini wao wanakuja na kodi lukuki kwenye huduma moja.yaani ukifikiria sana ni vigumu kuwaelewa; ati wanasema tuwalilie watumie kodi vizuri huku tusiwaulize kuhusu kodi wanazowabambikia wananchi!
acha kutumia ma------ kufikiri.
Kusanyeni kodi kwenye madini mbuzi nyie!
nguruwe wewe! uliona wapi nchi inaendelezwa na chanzo kimoja cha mapato, wataka tu upate huduma bure!? aliyekudanganya kuwa kodi ya madini haikusanywi ni nani?!. use your upstairs properly thug!....................
maendeleo gani? Miaka 51 ya uhuru maji tu tumeshindwa mpaka mabwana zetu watupe msaada kila kitu msaada kodi inafanya nini? Pole mkuumaendeleo mnataka, kulipakodi hamtaki?! nahisi kama mnatumia downstairs kufikiri....
yaani ukifikiria sana ni vigumu kuwaelewa; ati wanasema tuwalilie watumie kodi vizuri huku tusiwaulize kuhusu kodi wanazowabambikia wananchi!
nguruwe wewe! uliona wapi nchi inaendelezwa na chanzo kimoja cha mapato, wataka tu upate huduma bure!? aliyekudanganya kuwa kodi ya madini haikusanywi ni nani?!. use your upstairs properly thug!....................