Kuelekea mfumo wa Digital...

Kuelekea mfumo wa Digital...

kaeso

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
548
Reaction score
97
Nasikia kuwa tunahamia katika mfumo wa Digital kutoka Analogy. Mimi kwa ujumla sielewi lolote, nilitaka kununua tv lakini jirani yangu akaniambia ninunue za digital. Nilipomuuliza anieleze zikoje na zinapatikana wapi akasema hajui. Mwenye uelewa wa hii ishu ya analogy naomba anifafanulie na namna ya kupata tv za digital!
 
Mbona hueleweki wew umeuliza swali la digital then mwisho unatafuta tv ya analog kwan sasa hivi unatumia tv ya aina ipi??

Acha uvivu wa kuperuzi bana hebu fungua thread kuna mdau aliandika kuhusu ulushaji wa matangazo kwa njia ya digital na analog ukiisoma pomoja na coment za wadau utakuwa umepanda mwanga kidogo.
 
Mbona hueleweki wew umeuliza swali la digital then mwisho unatafuta tv ya analog kwan sasa hivi unatumia tv ya aina ipi??

Acha uvivu wa kuperuzi bana hebu fungua thread kuna mdau aliandika kuhusu ulushaji wa matangazo kwa njia ya digital na analog ukiisoma pomoja na coment za wadau utakuwa umepanda mwanga kidogo.

Samahani mkuu naomba link ya hiyo thread!
 
Mbona hueleweki wew umeuliza swali la digital then mwisho unatafuta tv ya analog kwan sasa hivi unatumia tv ya aina ipi??

Acha uvivu wa kuperuzi bana hebu fungua thread kuna mdau aliandika kuhusu ulushaji wa matangazo kwa njia ya digital na analog ukiisoma pomoja na coment za wadau utakuwa umepanda mwanga kidogo.

Nimesachi bila mafanikio mkuu, unaweza kuniwekea link?
 
Back
Top Bottom