GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,920
1. Tanzania siyo Shamba la Bib na kamwe Watanzania msidanganywe na yoyote Tanzania inajiweza yenyewe kwa kila Kitu hata kama Sisi Viongozi hatusafiri Kuzurura huko Kwao
2. Tanzania siyo Masikini na nawashangaa wanaosema ni Masikini wakati ina kila Kitu, Rasilimali zote na imebarikiwa sana na Mungu
3. Nachukia sana Rushwa / Ufisadi na pamoja na kwamba tumeanza Kupambana nao ila bado upo hivyo kama Rais nitakuwa Mkali ili niwapambanie Watanzania Masikini
4. Tanzania si ya Kuomba Pesa bali yenyewe ndiyo ya Kuombwa Pesa na Mataifa makubwa
5. Kamwe sitosafiri nje ya nchi bali Wao ndiyo watanifuata hapa hapa Tanzania Kwangu
6. Watanzania tuna Dharau na Unafiki sana na usidhani kila anayekuchekea au uko nae karibu Wanakupenda kwani wapo wengine wanaotamani hata Ufe ili wafanye yao
7. Leo mtanichukia kwa haya niyafanyayo kwa Tanzania na jinsi ninavyotaka kuwaandaa Watanzania Kiuchumi ili waondokane na Maisha magumu lakini nikifa mtanikumbuka na Nikifa nawaomba mnikumbuke tu kwa Mazuri yangu
Nashindwa kuendelea na Kauli ( Nukuu ) zake zingine kwani naona naanza Kulia kwa Uchungu mkubwa nikimkumbuka Rais wangu Kipenzi ambaye huenda ikatuchukua hata miaka 2000 ijayo Watanzania Kubahatika kumpata kama Yeye Hayati Dkt. Joseph Pombe Magufuli ( JPM )
R.I.P Rais Magufuli tunakulilia nno tu.
2. Tanzania siyo Masikini na nawashangaa wanaosema ni Masikini wakati ina kila Kitu, Rasilimali zote na imebarikiwa sana na Mungu
3. Nachukia sana Rushwa / Ufisadi na pamoja na kwamba tumeanza Kupambana nao ila bado upo hivyo kama Rais nitakuwa Mkali ili niwapambanie Watanzania Masikini
4. Tanzania si ya Kuomba Pesa bali yenyewe ndiyo ya Kuombwa Pesa na Mataifa makubwa
5. Kamwe sitosafiri nje ya nchi bali Wao ndiyo watanifuata hapa hapa Tanzania Kwangu
6. Watanzania tuna Dharau na Unafiki sana na usidhani kila anayekuchekea au uko nae karibu Wanakupenda kwani wapo wengine wanaotamani hata Ufe ili wafanye yao
7. Leo mtanichukia kwa haya niyafanyayo kwa Tanzania na jinsi ninavyotaka kuwaandaa Watanzania Kiuchumi ili waondokane na Maisha magumu lakini nikifa mtanikumbuka na Nikifa nawaomba mnikumbuke tu kwa Mazuri yangu
Nashindwa kuendelea na Kauli ( Nukuu ) zake zingine kwani naona naanza Kulia kwa Uchungu mkubwa nikimkumbuka Rais wangu Kipenzi ambaye huenda ikatuchukua hata miaka 2000 ijayo Watanzania Kubahatika kumpata kama Yeye Hayati Dkt. Joseph Pombe Magufuli ( JPM )
R.I.P Rais Magufuli tunakulilia nno tu.