...kuelekea 2015 - Nape kutimuliwa CCM

...kuelekea 2015 - Nape kutimuliwa CCM

Seif al Islam

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2011
Posts
2,156
Reaction score
640
katika kile kinachoelezwa kuwa mkakati maalumu wa kumuandalia mgombea mmoja wa uraisi njia ya kupitishwa na ccm kugombea urais 2015,katibu wa ccm itikadi na nuenezi nape nnauye anatajwa kuwa mmoja wa viongozi wa ccm watakaotimuliwa katika uongozi na hata ikiwezekana kutimuliwa uanachama kabisa.hii inadaiwa ni kutokana na bwana nape kutoelewana na kambi ya mgombea huyo anayedaiwa kuwa na nguvu za ushawishi achilia mbali pesa anazotajwa kuwa nazo nje na ndani ya nchi.take it from me.
 
Hata angekuwa kampiga kofi magufuli au kufanya lolote kudharirisha chama Maccm hawana huwezo wa kutimua mtu!

Hawana huwezo kabisa!
 
Kashaanza kusoma maandishi ukutani! Na sintomsamehe kamwe, alivyomkosea nidhamu Dr. Slaa.
 
Toka nizaliwe sijawahi kuona CCM wamemtimua mtu!
 
Nape aalindwa na mkulu kwa kupitishia maneno yake mdomoni mwake hivyo siyo rahisi kufukuzwa.
 
Atimke, wamtimue, wamwache, watajua wao!
 
Amuulize mzee mashishanga aliyekuwa mkuu wa mkoa wa morogoro kilichompata kisiasa. Tatizo la nape hafanyi critical analysis, ana amini kabisa mtu fulani hawezi kushika rungu kesho likamgeukia. Nakubaliana na mleta uzi, mwisho wa nape kisiasa si mzuri labda afikirie kuhama ccm, otherwise atakuwa kituko!
 
Kwa jinsi dogo huyu alivyo nawashangaa sana CCM kuwa na mtu kama Nape kweli inasikitisha sana na hata akitimuliwa, CHADEMA chonde chonde msimpokee mtu kama huyu
 
We unafikiri itakuwaje akitimuliwa kutoka CCM, si atkimbilia NCCR Mageuzi?. Wee humjui Nape kuwa ni mtoto wa mwanasiasa?
 
katika kile kinachoelezwa kuwa mkakati maalumu wa kumuandalia mgombea mmoja wa uraisi njia ya kupitishwa na ccm kugombea urais 2015,katibu wa ccm itikadi na nuenezi nape nnauye anatajwa kuwa mmoja wa viongozi wa ccm watakaotimuliwa katika uongozi na hata ikiwezekana kutimuliwa uanachama kabisa.hii inadaiwa ni kutokana na bwana nape kutoelewana na kambi ya mgombea huyo anayedaiwa kuwa na nguvu za ushawishi achilia mbali pesa anazotajwa kuwa nazo nje na ndani ya nchi.take it from me.

Hapo kwenye RED...Hilo nalo neno! Ngoja tusubiri tuone
 
katika kile kinachoelezwa kuwa mkakati maalumu wa kumuandalia mgombea mmoja wa uraisi njia ya kupitishwa na ccm kugombea urais 2015,katibu wa ccm itikadi na nuenezi nape nnauye anatajwa kuwa mmoja wa viongozi wa ccm watakaotimuliwa katika uongozi na hata ikiwezekana kutimuliwa uanachama kabisa.hii inadaiwa ni kutokana na bwana nape kutoelewana na kambi ya mgombea huyo anayedaiwa kuwa na nguvu za ushawishi achilia mbali pesa anazotajwa kuwa nazo nje na ndani ya nchi.take it from me.



Sasa ni Unamuongelea LOWASSA... NAPE kwa LOWASSA ni kama kakucha kidogo cha MGUUNI... kuna powerful people ambao wako dhidi yake kama SAMWEL SITTA; Mama SALMA; PRINCE na network yake...

Kwahio SIONI NAPE NNAUYE kama tatizo kwa LOWASSA... Umeandika kuwa UMEOTA hayo yatatokea???
 
Amuulize mzee mashishanga aliyekuwa mkuu wa mkoa wa morogoro kilichompata kisiasa. Tatizo la nape hafanyi critical analysis, ana amini kabisa mtu fulani hawezi kushika rungu kesho likamgeukia. Nakubaliana na mleta uzi, mwisho wa nape kisiasa si mzuri labda afikirie kuhama ccm, otherwise atakuwa kituko!

Ajiandae kutafuta kazi nyingine kwani lazima awe mwanasiasa?Ataamia wapi CHAUMA?
 
katika kile kinachoelezwa kuwa mkakati maalumu wa kumuandalia mgombea mmoja wa uraisi njia ya kupitishwa na ccm kugombea urais 2015,katibu wa ccm itikadi na nuenezi nape nnauye anatajwa kuwa mmoja wa viongozi wa ccm watakaotimuliwa katika uongozi na hata ikiwezekana kutimuliwa uanachama kabisa.hii inadaiwa ni kutokana na bwana nape kutoelewana na kambi ya mgombea huyo anayedaiwa kuwa na nguvu za ushawishi achilia mbali pesa anazotajwa kuwa nazo nje na ndani ya nchi.take it from me.

Ndoto yako
 
Inaelekea hampati usingizi mkisikia jina la Nape nyinyi wadogo Zake Lema.

unayoyasema kweli make huwaga hyu nape anayoyaongea lazma tachafue hali ya hewa, sio mstaarabu hyu nahisi kama kakosa sana malezi hamna mtu anaemweshimu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom