kapongoliso
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,353
- 492
Hakuna kazi Nape anawezafanya zaidi ya uvuvuzela. Elimu yenyewe ya kuungaunga waulizeni watu wa Kivukoni alikokuwa anasoma mambo ya itikadi. Nape kakosa mkakati wa kujiweka sawa sababu ya upeo mdogo alionao, anachoona ni rahisi kwake ni kujikomba kwa JK. Hilo ni kosa kimkakati sababu anaegemea mpapai badala ya mninga. JK uwa aonagi huruma kukumwaga baada ya kumsaidia kufikia lengo lake. Kama unabisa mwulize mzee wa Monduli.