Wapendwa wa MMU Hamjambo natanguliza shukurani kwenu. Naomba msaada juyahili, coz ilivyosiku hizi ndoa ni kitu cha kupita tu tofauti na zamani. Kwahiyo ninini cha kufanya na kuzingatia ili wanandoa wadumu milele na ndoa zao?.
mvumiliane
hata mkifumaniana live.
nani amekwambia ndoa ni kitu cha kupita sikuhizi?
tunajionea live mitaani, utakuta ndoa nyingi cku hizi hazimalizi hata mwaka.
Wapendwa wa MMU Hamjambo natanguliza shukurani kwenu. Naomba msaada juyahili, coz ilivyo siku hizi ndoa ni kitu cha kupita tu tofauti na zamani. Kwahiyo ninini cha kufanya na kuzingatia ili wanandoa wadumu milele na ndoa zao?.
mmh sijui unaishi mtaa gani ila nilipo mimi ndoa zinadumu tu, zilikuepo na bado zinaendelea kuwepo including mine
hata mkifumaniana live.
Wapendwa wa MMU hamjambo natanguliza shukurani kwenu.
Naomba msaada juyahili, coz ilivyo siku hizi ndoa ni kitu cha kupita tu tofauti na zamani.
Kwahiyo ninini cha kufanya na kuzingatia ili wanandoa wadumu milele na ndoa zao?.