mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 5,626
- 7,406
Ni kwere kweche jombaaaArusha hata magauni nasikia hayana soko...
Wao jeans Tu .....
Ukiwa romantic anakuona "mwanaume wa Dar"...
Wao wanataka bundesliga mwanzo mwisho
Machalii wanatupia matriangle hapo backta na mnyonyo mkali utazani ametoka hapo kwa babu Biden