Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Hivi kwani lazima kitu kiwe original?
orijino huwa cha moto!!!!
Hivi kwani lazima kitu kiwe original?
orijino huwa cha moto!!!!
kajiharibu na mi tatoo....
cheap ho....
Mbona kapendeza nayo?
aisee?
kweli watu tuna taste tofauti
na wewe una tatoos all over?
aisee?
kweli watu tuna taste tofauti
na wewe una tatoos all over?
Maybe ....or not
Hivi kwani ili kujua mtu kapendeza lazima na wewe uwe hivyo hivyo?
some how ukisema kitu fulani kizuri
hasa kwenye tatoos unakuwa una idea na tatoos na meaning zake
na 'kupendeza' kwake kukoje....
ambae haju hiyo 'arts ' anaweza kuona uchafu
while anaejua aka admire...so
uliposema 'amependeza' umuhimu wa kukuuliza umekuja
labda umeelewa hizo tatoos meaning zake....
Kwangu kuwa na tattoo hakumaanishi somebody is cheap
Hivi line kati ya cheap na expensive ni ipi kwa mdada?
Mi napenda kuona tramp stamps.
Ikiwa la kufutika jee?
Sina hata moja na sidhani kama nitawahi. Nikajitafutie maumivu kwa kusudi!
Anyway katika mazingira yangu kuona tattoo au vitu vyengine vinavyochukuliwa weird ni kawaida kiasi cha kuwa I've learned to accept and sometimes appreciate the art.
Kwangu kuwa na tattoo hakumaanishi somebody is cheap
La kufutika tena? Mi napenda kuona za ukweli.
Kwani kuna line?