Huyo kuku ni kuku kweli wa kienyeji au mixer? Angekuwa bata ningekushauri maana ana ngozi ngumu kuliko kuku wa kienyeji.
Lakini huyu kuku mwenyewe si yuko hapa ndani au ?? ..teteteteh..mfunge kamba tayari kwa kunoa kisu ukimaliza kunoa kisu endelea kwa raha zako ...ukitumia kisu butu AK shauri yako ..
AK-47 kunani shem?? lete nikushikie ukimaliza kunoa kisu ntakupa kuku wako......
Beti zako tatu ndani ya matatu zimenitiaHili hapa sio fumbo bali lugha ya mtaani
anazungumzia matumbo, usilichukulie maanani
ni kuku mwenye umbo, haenei kwenye sahani
nakujibu swali, huyu ni kuku mwenye umbo
kidosho wala mtetea, sio jibu la kutoa
usije ukamendea, mtama ukautoa
sio uchoyo natetea, hapa tushakutoa
nakujibu swali, huyu ni kuku mwenye umbo
mate yasikotoke, na tafadhali usiyamwage
kwenye mada hii utoke, nakuomba utuage
nenda kaokoke tuachie tumukarange
nakujibu swali, huyu ni kuku mwenye umbo
Mimi nilivyoelewa kuku ndio wewe LULU.au unataka kujila mwenyewe?
Nakushauri unowe kisu kwanza halafu chinja taaratibu kwa raha zako mwanawani usichinje na kisu butu kwani utamumiza bure na akipata upenyo atakimbia na kukuta wachinjaji wenye visu vikali na hutamwona tena,ohooo'
lakini mkuu, akiniponyoka wakati nanoa kisu nitamkamatia wapi tena?
Mimi nilivyoelewa kuku ndio wewe LULU.au unataka kujila mwenyewe?
tatizo kamba yenyewe sina hapa mknoni, mpaka nikatafute mai dia...........
heh pole sana kumbe tena utafute kisu ....
Tatizo lake siyo kuvaa glovu,ni ubutu wa kisu!!kisu kingekuwa kinahitaji ala angesema!!!mkuu mi nadhani kama unapata shida mwachie aende akaliwe na wengine kabla hajaharibikia mikononi mwako!!!utapata tu kuku mwingine,mbona wako kibao!!au kama namna gani vipi tafuta bata,hawahitaji kisu kikali sana!!!!Kiongozi, funga kamba kwa maneno mazuri ukavae salama Kondom upate kuchinja vizuri kuku asiumie na wala wewe usiumie
huo usamalia huo!!!kwani na wewe unampenda kuku wake?au kisu chako kinachinja na kuku wa wengine!!!AK-47 kunani shem?? lete nikushikie ukimaliza kunoa kisu ntakupa kuku wako......
ha ha ha ha kazi kweli!!Mimi nilivyoelewa kuku ndio wewe LULU.au unataka kujila mwenyewe?
Yani Akili hujatulia wewe... sasa ndo nini kumwita mwenzio kuku?... su utwambie tatizo lako nini bana...
mpendwa mi nazungumzia kuku.......... na tatizo langu je nimchinje na kisu butu aou nikinoe kwanza nikiwa nimemshikilia au nitafute kamba nimfunge kwanza ndio nikanoe kabla ya kumchinja................. mtihani ni kuwa kuku kanona ile mbaya na anaonekana anaweza kuniponyoka kabla sijamchinja.............
mwingine kashauri niwasiliane na jery muro aniambie alikonunua pingu nijaribu kumfunga kwa pingu ndo atalika vizuri............ hapo wewe unasemaje?