Chill down mkuu, mkeo furaha yake itarejea ikiwa tu utafanya moja kati ya haya mawili.
Kama hana uhakika kuwa ulichepuka basi wekataa na ikibidi apia kabisa ili uokoe ndoa yako.
Kama alikukamata na anao ushahidi basi piga goti mkiwa wawili na omba msamaha kisha badilisha ratiba yako uanze kurudi home mapema na vijizawadi visikauke.
Hawa tumeumbiwa sie mazee....😂