Kuchelewa maisha

Kuchelewa maisha

Mnajazana ujinga humu ndani.

Huwezi kumfananisha mtu aliyetajirika akiwa na miaka chini ya 30 na yule aliyetajirika akiwa na miaka zaidi ya 70 kuna utofauti mkubwa mno kuanzia kimawazo,kimtazamo, lifestyle nk.
 
maisha huanza pindi unazaliwa, ndo maana tendo la Leo huathiri maisha ya kesho haijalishi una umri gani. Kwa hiyo Hamna kuchelewa bali ni mtazamo wa akili.
 
Kuchelewea maisha kupo...

Ni pale unapofika 50yrs alafu huna mbele wala nyuma... huna mtoto hata wa kusingiziwa, huna mke, huna chochote kwa jina lako...



Cc: mahondaw
 
Kuchelewa kupo mkuu...kwa mfano, kuna ma-agemate wako uliokuwa nao utotoni, wana familia, wanamaisha mazuri, wana amani na ndoa zao,...Lakini wewe (mfano unaendelea) huna mbele wala nyuma, huna hata geto la kupanga (unaishi kwa ndugu au kwenu), kama kuna watu ulisoma nao wao wana masters na ma-phd wewe una diploma, mdogo wako wa nne kukufata ana watoto watatu wewe hata mmoja huna na hapo we sio mgumba wala tasa..hapo utasema bado hujachelewa...ni mifano tu mkuu sipingani na hoja yako
hivi kipimo cha maisha mazuri ni kipi?
 
Angekua ametoa hii mada mtu mwingine ningeelewa..ila wewe NO
 
Mnajazana ujinga humu ndani.

Huwezi kumfananisha mtu aliyetajirika akiwa na miaka chini ya 30 na yule aliyetajirika akiwa na miaka zaidi ya 70 kuna utofauti mkubwa mno kuanzia kimawazo,kimtazamo, lifestyle nk.
lakini wote wanaitwa matajiri au sio?
 
Back
Top Bottom