abovecapacity
New Member
- Sep 21, 2015
- 4
- 0
.. Kumekuwaaa na sintofahamu ya kwa nin selection za vyuo zimechelewa mwaka huu., jibu ni Kwamba selection za vyuo zitatoka Mwanzoni mwa Mwezi wa kumi na selection za wadahiliwa wa mikopo zitatoka Mwezi wa kumi na moja mwanzoni... Hii imesibitishwa na mmoja wa maafisa TCU alipokuwa akiituma selection report kwenye vyuo vilivyodahili wanafunzi na kuwataka wasitoe matokeo hadi mwanzoni mwa Mwezi October
Swali ni jee!! Kwanin selection hizi zichelewe na hasa izi za mikopo kutoka baada ya uchaguzi mkuu.! .. !! Nin mawazo yako mwana JF.! . Ya Kwamba fedha nyingi zimetumika kunadi wagombea husika hivyo bajet ndogo imebaki kwa kutoa mkopo kwa wanafunzi... .au ndo funika kombe kwanza mwanaharamu apite!!...
Nin mawazo yako juu ya hili mwanaJF... _
Swali ni jee!! Kwanin selection hizi zichelewe na hasa izi za mikopo kutoka baada ya uchaguzi mkuu.! .. !! Nin mawazo yako mwana JF.! . Ya Kwamba fedha nyingi zimetumika kunadi wagombea husika hivyo bajet ndogo imebaki kwa kutoa mkopo kwa wanafunzi... .au ndo funika kombe kwanza mwanaharamu apite!!...
Nin mawazo yako juu ya hili mwanaJF... _