mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Wana Jf,
Kwa uhalisia wa sasa upepo unapoelekea mtia nia ya urais Membe ashaanza vikao vya siri tangu Jana alipoamua kujivua uanachama. Kuna fununu kuwa anakutana na viongozi wakuu kukubaliana nini kifanyike ili aweze kujiunga na chama ili atimize dhamila yake. Kiukweli membe ni mkamilifu lakini tundu Lisu ni mzuri zaidi ila ataponzwa na kutokuwepo kwake kwani waamuzi hawatamwonea aibu kama ambavyo angelikuwepo.
Kiongozi mkuu anaweza kumwingiza ili aongeze majimbo kwani ingizo jipya huwa halina hasara. Membe ana pesa kutoka sehemu nyingine kuliko Lisu, campaign nifedha, kuzunguka Tanzania mzima sio mchezo.
Membe yuko nyuma ya matajiri walioumizwa na utawala huu, pia anaweza kupata kula za Ccm chotara na ccm maslahi.
Kwa uhalisia wa sasa upepo unapoelekea mtia nia ya urais Membe ashaanza vikao vya siri tangu Jana alipoamua kujivua uanachama. Kuna fununu kuwa anakutana na viongozi wakuu kukubaliana nini kifanyike ili aweze kujiunga na chama ili atimize dhamila yake. Kiukweli membe ni mkamilifu lakini tundu Lisu ni mzuri zaidi ila ataponzwa na kutokuwepo kwake kwani waamuzi hawatamwonea aibu kama ambavyo angelikuwepo.
Kiongozi mkuu anaweza kumwingiza ili aongeze majimbo kwani ingizo jipya huwa halina hasara. Membe ana pesa kutoka sehemu nyingine kuliko Lisu, campaign nifedha, kuzunguka Tanzania mzima sio mchezo.
Membe yuko nyuma ya matajiri walioumizwa na utawala huu, pia anaweza kupata kula za Ccm chotara na ccm maslahi.