Mkuu umejuaje hayo mambo ya sirini? Maana hayo mambo hata sisi wazazi(baba) huwa hatuambiwi, inabakia kuwa siri ya mama,bintiye au ndg wengine watu wazima. Sasa mzee baba wewe umejuaje? Na una undugu wowote? Tuanzie hapo kwanza.Wakuu Salaam!
Hapa home kuna issue tata kidogo! Kuna msichana ana umri wa miaka 18 na anakaribia miaka 19 hivi sasa! Ukimuona ana afya njema na haoneshi dalili yoyote ya upungufu wa kitu fulani mwilini! Sio tu kwamba anaonekana ana afya njema lakini amekuwa vizuri kwa sababu, usipomwangalia usoni na kugundua uso wake wa kitoto, unaweza kuamini amefikisha hata miaka 23 kwa jinsi alivyoenda hewani na mwili uliojengeka vema!!
Pamoja na yote hayo, huyu binti hadi sasa hajaanza kuingia hedhi!!
Ninachoomba kufahamu ni:
1. Je, hii inaweza kuwa ni hali ya kawaida pamoja na umri wote huo?
2. Kama si hali ya kawaida, hii hali inatokana na nini na tiba yake ni nini?!
Natanguliza shukrani zangu kwenu!
Kifuani na zile nywele za ukubwani vipi?Vimeota?Wakuu Salaam!
Hapa home kuna issue tata kidogo! Kuna msichana ana umri wa miaka 18 na anakaribia miaka 19 hivi sasa! Ukimuona ana afya njema na haoneshi dalili yoyote ya upungufu wa kitu fulani mwilini! Sio tu kwamba anaonekana ana afya njema lakini amekuwa vizuri kwa sababu, usipomwangalia usoni na kugundua uso wake wa kitoto, unaweza kuamini amefikisha hata miaka 23 kwa jinsi alivyoenda hewani na mwili uliojengeka vema!!
Pamoja na yote hayo, huyu binti hadi sasa hajaanza kuingia hedhi!!
Ninachoomba kufahamu ni:
1. Je, hii inaweza kuwa ni hali ya kawaida pamoja na umri wote huo?
2. Kama si hali ya kawaida, hii hali inatokana na nini na tiba yake ni nini?!
Natanguliza shukrani zangu kwenu!
Mkuu umejuaje hayo mambo ya sirini? Maana hayo mambo hata sisi wazazi(baba) huwa hatuambiwi, inabakia kuwa siri ya mama,bintiye au ndg wengine watu wazima. Sasa mzee baba wewe umejuaje? Na una undugu wowote? Tuanzie hapo kwanza.
Kwahiyo kwenu family member anapopata tatizo linalohusiana na maumbile huwa mnafichana based on jinsia ya family members?!Inavyoonesha mwandish ni mwanaume sasa kinachonipa walakn yeye kujua kama hajaingia hedhi maana hedhi ni siri kwa mwanamke... Ningeomba kufaham Mzee baba una uhusiano gan na Huyo bint kwa kuanzia
Embu jibu apo chiniKwahiyo kwenu family member anapopata tatizo linalohusiana na maumbile huwa mnafichana based on jinsia ya family members?!
Kwamba, mathalani mtoto wa kiume akiwa na tatizo, mamake anafichwa na mtoto wa kike akiwa na tatizo, babake anafichwa?!
Kifuani na zile nywele za ukubwani vipi?Vimeota?
Siwezi kujibu maswli ya kisen'geEmbu jibu apo chini
......Ila ni swali la msingi maana kuvunja ungo au kubalehe kuna ambatana na maendeleo kama hayo ya kuota nywele sehemu za siri!Siwezi kujibu maswli ya kisen'ge
Kwa mara ya kwanza nimetukanwa humu leo.Siwezi kujibu maswli ya kisen'ge
Kama ni dada yake anaweza kujua,mimi dada zangu huwa wananieleza kila kitu kuhusu afya zao za uzazi na huwa natoa msaada fasta!Inavyoonesha mwandish ni mwanaume sasa kinachonipa walakn yeye kujua kama hajaingia hedhi maana hedhi ni siri kwa mwanamke... Ningeomba kufaham Mzee baba una uhusiano gan na Huyo bint kwa kuanzia
Kama ni wewe weka picha tukuone, kama jirani yako namba yake ya simu uweke hapaWakuu Salaam!
Hapa home kuna issue tata kidogo! Kuna msichana ana umri wa miaka 18 na anakaribia miaka 19 hivi sasa! Ukimuona ana afya njema na haoneshi dalili yoyote ya upungufu wa kitu fulani mwilini! Sio tu kwamba anaonekana ana afya njema lakini amekuwa vizuri kwa sababu, usipomwangalia usoni na kugundua uso wake wa kitoto, unaweza kuamini amefikisha hata miaka 23 kwa jinsi alivyoenda hewani na mwili uliojengeka vema!!
Pamoja na yote hayo, huyu binti hadi sasa hajaanza kuingia hedhi!!
Ninachoomba kufahamu ni:
1. Je, hii inaweza kuwa ni hali ya kawaida pamoja na umri wote huo?
2. Kama si hali ya kawaida, hii hali inatokana na nini na tiba yake ni nini?!
Natanguliza shukrani zangu kwenu!
Kwa mara ya kwanza nimetukanwa humu leo.
Poa mkuu.Swali langu lililenga kutaka kujua kama ameota maziwa na nywele za siri ila hedhi hana.Au pengine hana vyote.Umeishia kunitukana.
I pray that huyo msichana kama ni ugonjwa apone.
Hiyo mnayoizungumzia nyinyi ni puberty stage na mwanamke anaweza kupitia puberty stage na asipate first period!......Ila ni swali la msingi maana kuvunja ungo au kubalehe kuna ambatana na maendeleo kama hayo ya kuota nywele sehemu za siri!
Mfano unaweza kuulizwa kama uyo demu "ameshaanza kufanya matusi?
Upo sahihi na hata leo alipelekwa hospital lakini wamepewa jibu jepesi sana "...hiyo ni kawaida, bado mdogo!" Yaani almost 19 years girl bado mdogo! Nadhani waliyemkuta ni wale, binti wa miaka 13 kwao ni mkubwa kwavile tu amevunja ungo!!Mngempeleka kwa doctor special wa wanawake anayedili na maswala ya uzazi kwa ushauri mzuri
Sema Mkuu me naona hakijaaribika kitu tuseme kua labda atakuja kukosa mume mana wengi hatupendi mambo za Period...Hiyo mnayoizungumzia nyinyi ni puberty stage na mwanamke anaweza kupitia puberty stage na asipate first period!
As for Bradha, nimesham-describe huyo binti kiasi cha kusema, ukimuona anaonekana ana afya njema and looking like above 20!
Kwa mujibu wa vyanzo vya kitabibu, moja ya sababu zinazosababisha delay in first menstruation ni ukosefu wa lishe bora na dalili zake ni kwa muhusika kuonekana dhaifu na ndio maana nikam-describe! There's no way a 19 years girl with no matiti ningem-describe kama ni mtu anayeonekana ni mwenye afya njema!
Nimekuelewa bro ila sijaona sababu ya kuitana wasenge badala ya kueleweshana kawaida.Hiyo mnayoizungumzia nyinyi ni puberty stage na mwanamke anaweza kupitia puberty stage na asipate first period!
As for Bradha, nimesham-describe huyo binti kiasi cha kusema, ukimuona anaonekana ana afya njema and looking like above 20!
Kwa mujibu wa vyanzo vya kitabibu, moja ya sababu zinazosababisha delay in first menstruation ni ukosefu wa lishe bora na dalili zake ni kwa muhusika kuonekana dhaifu na ndio maana nikam-describe! There's no way a 19 years girl with no matiti ningem-describe kama ni mtu anayeonekana ni mwenye afya njema!
Hahahaha!!Sema Mkuu me naona hakijaaribika kitu tuseme kua labda atakuja kukosa mume mana wengi hatupendi mambo za Period...
Indeed inaweza kua bahati tena akipata mume muislamu maana waislamu wanaambiwa wakifika peponi watapewa na Allah mwanamke 'mswafi' yani 'mswafi' ni ambaye HANYI wala hapati HEDHI!....
Kwaiyo bado ni habari njema.
Apo cha msingi acheki tu kama anaweza kupata mimba ama laah kama anaweza basi inshallaah hedhi sio lazima!
Maana inawezekana hapati hedhi ila kama tunavyojua ya Mungu mengi ya Kuku mayai kukawa na manuva fulani ya kupata bao!