Kuchangia CHADEMA Bonyeza hapa

Good. Kuna information nilizihitaji sana ili nichangie kirahisi na nimezipata. Nimekuwa nikipata shida kupanga mistari mirefu benki, ingawa nimekuwa nikichangia kupitia sms, lakini nitachanga kwa M-Pesa pia maana hii ni rahisi sana kupeleka kiwango kikubwa cha pesa. Nachanga.
 
Back
Top Bottom