Tatizo ni jinsi linavyotumika - unalisikia kila mahali.. mara kuchakachua wagombea, mara kuchakachua mafuta?Nilidhani kwamba kuchakachua ni
"adulteration" kwa lugha ya wenzetu .. au nakosea? na kama ndio, je inawezekana vipi kuchakachua wagombea wa ubunge au udiwani?