Imezuka tabia ya wadau walio Katika mahusiano kuchafuana baada ya kuachana.
Unakuta watu waliishi vizuri tu inapotokea wametofautiana wakaachana unaanza kuskia mara oooo! kwanza alikuwa analima bamia mara ooooh mpira wake haujawahi fika kwa kipa,ooooh ki.........chali!
Cha kushangaza baada ya muda utaskia anataka usuluhishi warudiane.
Mwingine naye utaskia mara oooo bwaw... utazan anafgamsamaki
JE HUU NI UUNGWANA?
Unakuta watu waliishi vizuri tu inapotokea wametofautiana wakaachana unaanza kuskia mara oooo! kwanza alikuwa analima bamia mara ooooh mpira wake haujawahi fika kwa kipa,ooooh ki.........chali!
Cha kushangaza baada ya muda utaskia anataka usuluhishi warudiane.
Mwingine naye utaskia mara oooo bwaw... utazan anafgamsamaki
JE HUU NI UUNGWANA?