aiseeeeee babayangu kwa sayansi yetu ndogo ya kutengeneza mbege ukiweka line kwenye modem mtu akikupigia aioneshi ila anayekupigia atasikia inaita lakini akituma sms ndio utaiona
aiseeeeee babayangu kwa sayansi yetu ndogo ya kutengeneza mbege ukiweka line kwenye modem mtu akikupigia aioneshi ila anayekupigia atasikia inaita lakini akituma sms ndio utaiona
kumbe umeni-block? maana siku hizi nikikubip haiendi.......
samahani sana wote ninaowabip....mwenzenu nimefulia kwa muda, mambo yakiwa sawa nitakuwa nawapigia, tuvumiliane...