Kubenea: Lowassa ameonesha njia

Kilichopo, kazi iliyobaki wanayoifanya ccm ni kutafuta namna ya kuua upinzani, hasa Chadema! Swala la maendeleo imekuwa sio kipaumbele tena....!

Ila wasichokijua kwa mazingira ya sasa, kuuwa upinzani ni near impossible job na sababu kubwa ni kuwa watu wengi, hasa vijana wamepigika ile mbaya na ni wazi serikali hii imekosa mbinu/mikakati ya kuwaondoa ktk hali hiyo..

Na serikali baada ya kuukosa ufumbuzi wa tatizo wamekuwa desperate na matokeo yake kuanza hii biashara ya nunua nunua hali ambayo imefanya izidi kuchukiwa zaidi na wananchi.

Hata kama wataendelea kutawala lkn watatawala katikati ya chuki kubwa na hawatakuwa tofauti na iliyokuwa serikali ya Mugabe kule Zimbabwe. Na hatimaye mwisho wao utakuwa mbaya ni hakuna mfano.
 
Kubenea, sawa lkn hoja zako nyingi zinaukakasi. Kama alikuwa na nia njema na chama chake angeweka akiba ya maneno kama Seif, ngelikaa kimya bila kusema chochote!!!!!!!!!!!!!!!
 
Lowassa àende tu anatuharibia chama sisi tumeshazoea kuandamana tangu aje anajifanya kuinyenyekea ccm
 
Mvua ndio imekolea
Mashamba maji yameingia
sasa nikupanda mpunga tu
hii siasa ya Wabongo ngumu kumeza
 
Kosa kubwa lililowahi kufanywa na CDM tangu kuasisiwa kwake ni kumpokea ENL
 
Mbona unaanza kuweweseka?
Mm siweweseki . Wakuweweseka utakuwa wewe unaodhani mawazo ya kakikundi kamoja kalikofilisi nchi miaka yote leo kanaweza kakaleta maendeleo? Kale kakikundi kaliko uza nyumba za uma, kaliko nunua vivuko vibovu na kalikoua azimio la arusha ambalo kimsingi ndio philosophy ya taamifa leo kana kuja kwa frastrations at hako kakikundi kanajengwa upya? Poor u. Mnajenga viwanda kwa phylosophy ipi? Unafikiri kujenga viwanda ni sawa na kufokafoka bila sababu kama mwehu? Mbomoe nchi wenyewe kisha mjenge wenyewe ? Huko co kuweweseka kweli? Mm siweweseki kwakuwa najua yanyotamkwa hayawezekani na hayatawezekana. Labda kumnunua mtulia na kufungia magazeti hayo yanawezekana
 
Insha yoote hii ya nini sasa?
 
Kweli tupu umesema mkuu. EL hajielewi yupo kwa maslahi yake..
Ujafikisha ataa mwezi JF wewe ndio huwe kiongozi wakushauri wana Cdm hapa JF [emoji23] [emoji23] maccm umna akili za kuazima .awamu hii humnalipwa sh ngapi lumumba au bado ni bk 7 [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Si mlisema Mwanachadema anaweza kumuunga mkono Rais Magufuli akiwa ndani ya Chadema siyo lazima ahamie CCM. Pia mlimwambia Lowassa 'ULIPO TUPO' ,mbona mnabadilika?
 
Kuna level ya mtu expected of him or her to think. If you go outside that ambit, then regardless of the liberty one to air his or her views, those capable of philosophical thinking will doubt you.
Uwezi pata fikra mpya kwa kuwaza ukifuata mstari au kufuata sheria na kanuni mlizo kwama nazo mlipo ndani ya boksi .ni sharti uwaze nje ya boksi .thats its
 
Kumbe njia ya upinzani kupata ahueni ni kwenda kulamba miguu ya chama kubwa! Kweli mwenye nguvu mpishe.
 
Chadema wanapaswa kumwelewa Lowassa. Huyu hawezi kuwa 'mpinzani' wanayemfahamu kwa matendo na kauli zake. Ni tofauti. Pia Lowassa 'ameshindwa' kufahamu tabia za siasa za upinzani duniani na hasa za huku kwetu Afrika. Kuna njia ya kuongea kama mpinzani hata ukisifia kuna njia yake kama ilvyo kwa chama tawala 'kinavyosifia' upinzani.
 
Hongera Kubenea kwa kuwapa hawa Bavicha siasa sio uadui.
Kama Nelson Mandela aliweza kukaa meza moja na Fredrick De Clerk. Lowassa kukutana na Rais Magufuli ni ukomavu wa Demokrasia nchini
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…