Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
Mkurugenzi/Mhariri wa gazeti la MwanaHalisi, Saed Kubenea, amerejea jana jioni akitokea nchini India alikokuwapo kwa takribani mwezi mmoja akipata matibabu ya macho yaliotokana na kuvamiwa na kumwagiwa tindikali, ofisini kwake Januari 05 mwaka huu.
Je, baada ya kufungiwa na baada ya kuendelea kuuguza macho na baada ya kupata kibano cha polisi, Kubenea na MwanaHalisi lake watarudi na kasi ile ile ama wamesalimu amri kwa mafisadi?
Gazeti la MwanaHAlisi litarudi mitamboni Januari 14 Mwaka huu, JF tuna mchango gani kwao? Je, litaibuka na habari nzito ama litaingia kutetea mafisadi?
Je, baada ya kufungiwa na baada ya kuendelea kuuguza macho na baada ya kupata kibano cha polisi, Kubenea na MwanaHalisi lake watarudi na kasi ile ile ama wamesalimu amri kwa mafisadi?
Gazeti la MwanaHAlisi litarudi mitamboni Januari 14 Mwaka huu, JF tuna mchango gani kwao? Je, litaibuka na habari nzito ama litaingia kutetea mafisadi?