Habari wanajamvi, kama tujuavyo kila mmoja wakati ukisogea huhita kuwa na jiko...hivyo yatupasa kufahamu baadhi ya mambo mhimu ndani na nje ya hilo jiko. Hvyo jamani mimi leo niko hapa kuombeni mnifahamishe kwa kadiri mjuavyo kuhusu hili neno "KUMBEMENDA MTOTO" ndo nini maana yake? Maoni yenu plz...