kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,809
Naona mnalisahau sana hili, mnazungumzia chura, mara sijui mcha Mungu lakin nawaambieni njia rahis zaidi ya kuwa maskin ni kumpata mwanamke asiyejua kubana matumizi, mwanamke anayependa kushindana na kujionesha kwamba always yupo juu.
Mwanamke wa namna hii ni tatizo, utatafuta hela sana zitaishia kununua mawigi ya laki 5 ili ashindane na fulan na mawigi mapya yanatoka kila leo, kwahiyo pesa inaingia na pia inatoka kwa kasi. Hutoboi.
Kuweni makin vijana
Mwanamke wa namna hii ni tatizo, utatafuta hela sana zitaishia kununua mawigi ya laki 5 ili ashindane na fulan na mawigi mapya yanatoka kila leo, kwahiyo pesa inaingia na pia inatoka kwa kasi. Hutoboi.
Kuweni makin vijana