Heargy da Best
Member
- Jun 23, 2015
- 48
- 10
Hivi nyinyi akina dada huwa mnajisikiaje pale mnapobambiwa (kukobewa) na w.me ktk mziki?
Mkuu umeandika kwa hisia sana kama vile upo eneo la tukio.........Kuna watu hisia zao ziko mbali!! Mimi hapo ningekuwa na hali mbaya! Mkao huo tena mdada kajaaliwa kavaa kinguo kama condom! Lawama hizo!
Kuna watu hisia zao ziko mbali!! Mimi hapo ningekuwa na hali mbaya! Mkao huo tena mdada kajaaliwa kavaa kinguo kama condom! Lawama hizo!