makandokando
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 299
- 21
Wanajamvi naombeni msaada.
Zamani nilikua nikisikia msichana kabakwa, basi kulikua na mambo yafuatayo:
1. Huyo msichana kafanyiwa kitendo ambacho hajakipenda
2. Hatapenda kirudiwe tena
3. Sehemu aliyobakwa ni sehemu ambayo anatakiwa kuwepo, na hata asingebakwa, hakuna ambaye angeshangaa kumkuna eneo hilo.
4. Yule aliyembaka anakua adui yake milele na hatapenda kuongea nae wala kuwa nae karibu
List ni ndefu.
Ila mazingira ya kubakwa pia huwa labda:
1. msichana anajitokea shuleni/kazini/katika matembezi, halafu mtu/watu wanamvizia njiani, na kumuingilia. Na mara nyingi msichana hujaribu kutumia nguvu kukurupuka au hata kupiga kelele. Yaani baada ya tukio la kubakwa, basi unaweza kukuta na majeraha mengine.
2. au labda housegirl amelala zake chumbani, halafu mzee mzima anamfuatia usiku na kumbaka huko
3. au labda mhudumu hakujua kama mtu yupo chumbani (ihahitaji uthibitisho) halafu kaenda kufanya usafi, kumbe jamaa yupo ndani, akamrukia akambaka
Yaani, lazima kuna mazingira, ya msichana kuwa eneo analotakiwa kuwepo, na mtu mwingine kutumia nguvu kumbaka msichana huyo.
Ila kwangu binafsi, haiingii akilini, msichana wa shule, kutoka alipotoka, kwenda mpaka hotelini (ambapo haruhusiwi kuwepo), halafu kuingia chumbani kwa mtu, halafu baada ya hapo aseme amebakwa.
Mbaya zaidi, haiingii akilini, mtu aliyekubaka, unamfuata tena. Halafu kwenye mazingira yale yale aliyokubakia mara ya kwanza, halafu unaenda. Halafu unatoka tena unasema umebakwa.
Nawaonea huruma waliobakwa, na kwa kweli wabakaji wapelekwe kwenye vyombo ya kisheria mapema......ila mi sielewi unakuaje umebakwa, kwenye mazingira kama hayo.
Unless, tunadefine kubaka ni kufanya mapenzi na msichana mwenye umri chini ya miaka 18, independent of kama alikuja hotelini, au ulimfuata, etc. etc.
Na kama ni hivyo, je...mtu kwenye miaka 23 hawezi kubakwa?
Zamani nilikua nikisikia msichana kabakwa, basi kulikua na mambo yafuatayo:
1. Huyo msichana kafanyiwa kitendo ambacho hajakipenda
2. Hatapenda kirudiwe tena
3. Sehemu aliyobakwa ni sehemu ambayo anatakiwa kuwepo, na hata asingebakwa, hakuna ambaye angeshangaa kumkuna eneo hilo.
4. Yule aliyembaka anakua adui yake milele na hatapenda kuongea nae wala kuwa nae karibu
List ni ndefu.
Ila mazingira ya kubakwa pia huwa labda:
1. msichana anajitokea shuleni/kazini/katika matembezi, halafu mtu/watu wanamvizia njiani, na kumuingilia. Na mara nyingi msichana hujaribu kutumia nguvu kukurupuka au hata kupiga kelele. Yaani baada ya tukio la kubakwa, basi unaweza kukuta na majeraha mengine.
2. au labda housegirl amelala zake chumbani, halafu mzee mzima anamfuatia usiku na kumbaka huko
3. au labda mhudumu hakujua kama mtu yupo chumbani (ihahitaji uthibitisho) halafu kaenda kufanya usafi, kumbe jamaa yupo ndani, akamrukia akambaka
Yaani, lazima kuna mazingira, ya msichana kuwa eneo analotakiwa kuwepo, na mtu mwingine kutumia nguvu kumbaka msichana huyo.
Ila kwangu binafsi, haiingii akilini, msichana wa shule, kutoka alipotoka, kwenda mpaka hotelini (ambapo haruhusiwi kuwepo), halafu kuingia chumbani kwa mtu, halafu baada ya hapo aseme amebakwa.
Mbaya zaidi, haiingii akilini, mtu aliyekubaka, unamfuata tena. Halafu kwenye mazingira yale yale aliyokubakia mara ya kwanza, halafu unaenda. Halafu unatoka tena unasema umebakwa.
Nawaonea huruma waliobakwa, na kwa kweli wabakaji wapelekwe kwenye vyombo ya kisheria mapema......ila mi sielewi unakuaje umebakwa, kwenye mazingira kama hayo.
Unless, tunadefine kubaka ni kufanya mapenzi na msichana mwenye umri chini ya miaka 18, independent of kama alikuja hotelini, au ulimfuata, etc. etc.
Na kama ni hivyo, je...mtu kwenye miaka 23 hawezi kubakwa?