Premij canoon
JF-Expert Member
- May 27, 2018
- 1,275
- 2,970
Habar wakuu, kama kichwa cha habari kinavojieleza.. Iphome yangu mepasuka kioo baada yakuidondosha, nafikiri kuhusu kubadili kioo ili irudi kwenye mwonekano wake wa awali.
Naomba kupata ushauri wakuu je nikibadili kioo itaweza kufanya kazi kama mwanzo au kioo chakubadili huwa hakiwezi kufanya kazi kama kioo cha simu?
Naombeni ushauri wakuuu, natanguliza shukran
Sent from my iPhone using JamiiForums
Naomba kupata ushauri wakuu je nikibadili kioo itaweza kufanya kazi kama mwanzo au kioo chakubadili huwa hakiwezi kufanya kazi kama kioo cha simu?
Naombeni ushauri wakuuu, natanguliza shukran
Sent from my iPhone using JamiiForums
TSH