ngosha2011
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 681
- 87
Nina LG GU285 niliagiza toka nairobi,ni 3g na ina mambo mengi na pia internet yake ipo fasta,ina earphone zake na chaja ni line moja isipokuwa screen yake si kubwa sana kama ninavyopenda mimi,natafafuta yoyote mwenye simu orijino yenye screen kubwa tufanye exchange,hata kama 2g,nikipata nokia x201 ntafurahi,itafute google uicheki..namba yangu ni 0755065418