Ndugu wewe ndio wajua thamani ya simu yako. Hatujui kama ulinunua, ulipewa zawadi, au uliiba. Thamani ya kitu unaijua wewe. Fuata moyo wako.nna iPhone jaamaa ana Samsung anataka tubadilishane, nataka maoni kama is it a right thing to do! Ipi yenye value nzuri?
Op refurb si nyingi Sababu mitandao mi chache ina subsidize. Bei around $350 Amazon, pamoja na usafiri na Kodi pengine 1m.Ahsante chief, halafu hivi One plus 7 Pro refurb naweza nkaipata kwa pesa ngapi?
Op refurb si nyingi Sababu mitandao mi chache ina subsidize. Bei around $350 Amazon, pamoja na usafiri na Kodi pengine 1m.
Simu za Kichina bora ununue mpya tu, hazina longevity kama ya brand kubwa,
Oneplus 8 $399 utofauti mdogo sana na 7 Pro,
Andaa hela kuwa nayo tayari, huwa zinashuka hadi $299, iki shuka tu agizishia.Binafsi napenda Zaid shape ya Op 7 pro sababu haina Punch-hole Cam