Kubadilishana iPhone 7 Plus 128 GB kwa Samsung Note 9 , 128 GB

Jorge WIP

JF-Expert Member
Jul 12, 2018
3,567
5,288
nna iPhone jaamaa ana Samsung anataka tubadilishane, nataka maoni kama is it a right thing to do! Ipi yenye value nzuri?
 
Angalia kwanza ni s9 ipi, kama ni international version ni deal zuri, kama ni refurb uza iPhone yako Kanunue refurb ya s9 na change inabaki.

Ahsante chief, halafu hivi One plus 7 Pro refurb naweza nkaipata kwa pesa ngapi?
 
nna iPhone jaamaa ana Samsung anataka tubadilishane, nataka maoni kama is it a right thing to do! Ipi yenye value nzuri?
Ndugu wewe ndio wajua thamani ya simu yako. Hatujui kama ulinunua, ulipewa zawadi, au uliiba. Thamani ya kitu unaijua wewe. Fuata moyo wako.
 
Ndugu wewe ndio wajua thamani ya simu yako. Hatujui kama ulinunua, ulipewa zawadi, au uliiba. Thamani ya kitu unaijua wewe. Fuata moyo wako.

Umetisha, sema for clarification hii simu nilinunua
 
Ahsante chief, halafu hivi One plus 7 Pro refurb naweza nkaipata kwa pesa ngapi?
Op refurb si nyingi Sababu mitandao mi chache ina subsidize. Bei around $350 Amazon, pamoja na usafiri na Kodi pengine 1m.

Simu za Kichina bora ununue mpya tu, hazina longevity kama ya brand kubwa,

Oneplus 8 $399 utofauti mdogo sana na 7 Pro,
 
Op refurb si nyingi Sababu mitandao mi chache ina subsidize. Bei around $350 Amazon, pamoja na usafiri na Kodi pengine 1m.

Simu za Kichina bora ununue mpya tu, hazina longevity kama ya brand kubwa,

Oneplus 8 $399 utofauti mdogo sana na 7 Pro,

Binafsi napenda Zaid shape ya Op 7 pro sababu haina Punch-hole Cam
 
Back
Top Bottom