Mwaka 1978 Kenya kulikuwa kuna mchezaji anaitwa Otieno Mboo.
walifanikiwa kufika Fainali ila huyo mchezaji aliumia mechi ya Nusu fainali,
Magazeti ya Kenya yaliandika vichwa vya habari "WAKENYA KUCHEZA BILA MBOO", Raisi akazuia magazeti yote na kusema warekebishe hiyo sentensi....
Walibadilisha na kesho yake kuandika "WAKENYA KUCHEZA MBOO NJE"
Siku ya mechi Wanawake walifurika Uwanjani..
kama unajina kama hilo nakushauri ubadili coz utapo kuja kuwa kiongozi mkubwa hapa nchini itakuwa ni shida tupu.
just imagine gazeti liandikwe "WATANZANIA/CCM/CHADEMA KUONGOZWA NA MBOO... "
Itakuwa majanga nchini.