moudyjr
Senior Member
- May 28, 2013
- 175
- 37
Nitawasiliana na wewe Mkuu. namba yako nimeshai save.
nina garage ndogo vijana mahiri sana; karibuni wadau!!
Nitawasiliana na wewe Mkuu. namba yako nimeshai save.
RVR ni Bomu sana wanasema ni Cheti cha ubatizo au Ndoa ya kikristu.
Garage yako iko wapi? Unatumia whatsapp?
Kaka. Habari . Samahani niliona kua ulipata changamoto na gari yako ya RVR. Vp ulifanikiwa kupata spare? Mimi nilitamani sana kununua hio gari RVR ya Mwaka 2011 kumbe zinachangamotoNitaangalia hali itakavyokuwa na nitazingatia ushauri wako.
Mkuu, changamoto moja tu inataka kukutoa mchezoni?Kaka. Habari . Samahani niliona kua ulipata changamoto na gari yako ya RVR. Vp ulifanikiwa kupata spare? Mimi nilitamani sana kununua hio gari RVR ya Mwaka 2011 kumbe zinachangamoto