Kubadilika moja kwa moja ktk maisha (complete changes)

Ballack-13

Member
Jul 8, 2018
61
79
Mambo ynayotukwamisha ktk maisha ht sio makubwa ni vtu vidogo vidogo ambvyo kama mtu akivifanyia kazi vzr vinaweza kubadlisha sehem ya maisha yke watu wengi tunapenda kufnya mabadiliko nusu nusu(semi changes) ndio maana mambo hybdilki ktk maisha yetu ukitka kubadilka ni lzma ufnye complete changes(mabadilko yte) ktk maisha yko na kwenye mambo unayoyafanya na jinsi unavyotkiwa kuyafnya ili mambo yaende sawa
Mwanafalsafa mmoja aliwah kusema ukitaka maisha yko ybdlike cha kwanza xbsa anza kutandika kitanda chko asbh ukiweza hlo kila uamkapo basi utafanikiwa mambo mengne yte lkn kma kitanda chko tu umeshindwa kukitandika utawzaje kufanikiwa kwenye mambo makubwa wkt madogo ymekushinda
Tafuta karatasi andika mambo yote ynayokufnya ushindwe kufanikiwa ktk jambo fulani andika pia mambo gani ambyo unatkiwa kuyfnya ili ufanikiwe kisha angali mambo mangap ambyo wewe huyfnyi na wenzako wnafnya na wanafanikiwa ytengeneze mkakati ili malengo yko yfnkiwe kulingna na mikakati uliojiwekea
Suala sio nn kinatokea kwenye maisha yko mambo yanamtokea kila mtu ktk maisha kikubwa ni nini wewe unakifanya kwenye mambo ynayokutokea
Mambo makubwa manne niliyojifunza ili ufanikiwe mtu unatakiwa kuyafnya
1-BADILIKA
2-BADILIKA
3-BADILIKA
4-BADILIKA
Mpka ss kma vijna ktk malengo uliojiwekea umefanikiwa kwenye maeneo gani na kama bdo hujafanikiwa unasubir nn hatuwezi kuwa wasindikizaji ktk maisha kusudio letu kuletwa duniani sio kuja kusndkza watu wnaofanikiwa lzma na sisi pia tuonyeshe kuwa htukuja kwa bahati mbaya hpa duniani
Anza sasa usikubali kuwa nyuma kwenye malengo ykp be ready to die for ur dreams
Ile sauti ya upole inayosikika chini ya moyo wako ndo inaitwa kweli Fanya kweli na ikawe kweli ktk maisha yko
Punguza muda wa kuongea na fanya zaidi kwa vitendo
MAFANIKIO HAYAWEZI KUSHUKA VIWANGO ILI YAKUTOSHELEZE WEWE UNAPASWA KUPAMBANA ILI KUFIKIA VIWANGO VYA MAFANIKIO
Kama sio wewe ni nani na kama sio sasa ni lini
Jtno njema wakuuu
 
Ushauli mzuri mfano mtu mwenye shida ya mtaji na kutandika mashuka wapi na wapi? Au hiyo change na mtaji ina husianaje? Bongo mtu akitoboa kuanzia chini kabisa ningumu ila inawezekana hapo juu nikukimbia tu. Napataje mtaji bila kuwa na aaseti ya kuweka rehani? Uta wa saidia wale fresh from chuo ukiweza kujibu hilo
 
Kile unachokifikiria na kukisema ndio kinakuwa ktk maisha yako mkuu ni vzr kuwa na mtazamo chanya shida ipo kwetu ss tumetanguliza haiwezekani kama mtu alianza na mtaji wa 5000 leo yuko mbali kimaisha why ss vjna tusiweze htujawekeza vya kutosha ktk kuthubutu kufnya vitu
 
Baada ya siku 62, tabia ya binadamu yeyote aliye kwenye hatua ya mabadiliko hubadirika kweli!.
Nakubaliana na ww mkuu wick ukiweza kubadili sub conscious mind yko kwa kuelekeza jambo fulani kila asbh na usiku kbla ya kulala kwa siku 30 mfulilizo unabadilka xbsa
 
Kwanza kabisa uandishi wako mbovu, hata kama lengo lako ni zuri ila umeandika hovyo.Hivi siku hizi shule mnaenda kusomea ujinga.? Hebu andika vizuri kwa kiswahili fasaha huku sio fbk au magrup ya whatssapp.
 
Nakubaliana na ww mkuu wick ukiweza kubadili sub conscious mind yko kwa kuelekeza jambo fulani kila asbh na usiku kbla ya kulala kwa siku 30 mfulilizo unabadilka xbsa
Ni inabidi uwe willing kubadirika lakini kwa mtoto hii process ni simple zaid.
 
Back
Top Bottom