Nenda airpot DSM mkuu ,,,
Mm nilikuwa na yuan 1500 nilihangahka nazo Sana hadi nilipoenda airport nilikuwa na shida fulani nikakuta jamaa wanaba dirisha fedha karibu zote dunian nam nikafanikiwa sababu nilikuwa natembea nazo kwa wallet yangu kila niendako
Sent from my TECNO F1 using
JamiiForums mobile app