tzhumoally
JF-Expert Member
- Mar 20, 2015
- 412
- 156
Natanguliza shukrani, naomba ufafanuzi kidogo,
Hivi kama tunavojua HESLB hawatoi mikopo kwa watu waliomaliza zaidi ya miaka mitatu nyuma, labda usomee ualimu au udaktari ndio wanakupa
Sasa tuseme nimeomba ualimu na mkopo wamenipa lakini nikifika chuo nikaamua kuchange course sasa hapo bodi wataendelea kunipa au watakatisha hela yao?
Na kama watakatisha watakatisha kuanzia muda upi mpaka umalize mwaka au on the spot, naomba msaada wenu. mimi nimemaliza form 6 2009 comb ya PCM
Hivi kama tunavojua HESLB hawatoi mikopo kwa watu waliomaliza zaidi ya miaka mitatu nyuma, labda usomee ualimu au udaktari ndio wanakupa
Sasa tuseme nimeomba ualimu na mkopo wamenipa lakini nikifika chuo nikaamua kuchange course sasa hapo bodi wataendelea kunipa au watakatisha hela yao?
Na kama watakatisha watakatisha kuanzia muda upi mpaka umalize mwaka au on the spot, naomba msaada wenu. mimi nimemaliza form 6 2009 comb ya PCM