Kubadili android version

Hili zoezi limeshindikana Wakuu, ngoja nijaribu kuwapelekea Wataalamu wa Software labda
 
Camera ya simu yangu ni 8megapixel naweza ifanya iwe 16 megapixel, naomba ushauri
 
Camera ya simu yangu ni 8megapixel naweza ifanya iwe 16 megapixel, naomba ushauri

huwezi na 2mp inatosha kujaza kioo cha 1080p kama vile TV za full hd. kwa matumizi ya nyumbani 5mp inatosha kabisa.

labda kama unatengeneza mabango ya barabarani ndio utahitaji 16mp.

quality ya camera si megapixel.
 
Nina Huawei P6 inatumia android 4.2.2 ninataka ku upgradekwenda lollipop kama ikiwezekana lakini google sijaona ROM yake pamoja na kuwa simu iko Rooted. Msaada kwa hili
 
Nina Huawei P6 inatumia android 4.2.2 ninataka ku upgradekwenda lollipop kama ikiwezekana lakini google sijaona ROM yake pamoja na kuwa simu iko Rooted. Msaada kwa hili

update hadi kitkat official, ukicheki update inasemaje simu?
 
huwezi na 2mp inatosha kujaza kioo cha 1080p kama vile TV za full hd. kwa matumizi ya nyumbani 5mp inatosha kabisa.

labda kama unatengeneza mabango ya barabarani ndio utahitaji 16mp.

quality ya camera si megapixel.

asante kwa ushauri wako, tatizo sio kujaza kioo tatizo nipate ile clear HD and clarity ya picture, ndo maana nikauliza
 
Nina Huawei P6 inatumia android 4.2.2 ninataka ku upgradekwenda lollipop kama ikiwezekana lakini google sijaona ROM yake pamoja na kuwa simu iko Rooted. Msaada kwa hili
nlikuwa na hyo smu na nli update manually kwenda kit kat,nchek nkupe firmware ya kit kat
 
umeshindwa sehemu gani? Nikiiwasha simu yangu inaishia hapo tu, haiendelei na nilijaribu kudownload firmware ya hiyo P6 na kuiweka kwenye MemoryCard na kuiweka kwenye hiyo simu lkn hakuna la zaidi
 

Attachments

  • 1450514758496.jpg
    26.2 KB · Views: 148
 

Attachments

  • 1450515248936.jpg
    25.3 KB · Views: 125
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ