Kubadili android version

Joined
Nov 27, 2013
Posts
35
Reaction score
15
Mwenye kuelewa jinsi ya kubadili android version mfano kutoka 4.3 jelly bean kwenda 4.4.2 kitkat anisaidie natanguliza shukrani
 
Mkuu sammobile ni kwa ajili ya samsung tu.....Labda angetaja Aina ya simu kwanza
 
Haya ni maelekezo kwa kifupi sana!
Flashing ROMs ni risk kuliko ROOTING!!
Hatua ni hizi (kwa kifupi sana) kutoa tu mwanga.
1. Device LAZIMA iwe rooted.
2. Boot kwa recovery mode kisha backup system
nzima kwenda kwenye SD Card. Hii inasaidia
ikiwa process ita fail urudishe settings za mfumo
wa mwanzo.
3. Nenda PlayStore download ROM Maneger na
CW Recovery
4. Nenda google search Lollipop ROM special
kwa simu yako. (mf. Tecno M3.) Download na weka kwenye SD
Card.
5. Baada ya kufanya backup ya simu yako
fungua ROM manager chagua Flash ROM itafute
ROM ulioidownload, ichague...then the process
continues..
Some technical skills may be needed...
 
NB; kuroot tu simu yako kunaondosha warranty ya simu yako...
do it for your own risk...
 

Hapo Umemuuza. ungemuambia ku save picha
 
Niliifanyia Recovery simu yangu Huawei P6 haijawaka mpk leo, inaishia kutoa nembo ya ua tu la Huawei
 

Sio mtaalamu wa hizo Recovery proccess, ktk kubonyezabonyesha nikaona hilo neno nikakubali kuifanyia recovery, simu ikazima, nikajua inaji-reboot labda, ikawaka kwa kuonyesha ua tu mpk leo, sina hamu tena na Huawei P6, nikaiweka kwenye Begi mpk leo
 
Sio mtaalamu wa hizo Recovery proccess, ktk kubonyezabonyesha nikaona hilo neno nikakubali kuifanyia recovery, simu ikazima, nikajua inaji-reboot labda, ikawaka kwa kuonyesha ua tu mpk leo, sina hamu tena na Huawei P6, nikaiweka kwenye Begi mpk leo

աɛҡa ʄɨʀʍաaʀɛ ռʏɨռɢɨռɛ tʊ ɦaքօ.
 
աɛҡa ʄɨʀʍաaʀɛ ռʏɨռɢɨռɛ tʊ ɦaքօ.

Kwa kutumia Computer?? Maana simu ndio imegoma kuwaka zaidi ya hapo kwenye Ua la Huawei tu
 
Kwa kutumia Computer?? Maana simu ndio imegoma kuwaka zaidi ya hapo kwenye Ua la Huawei tu

huawei wanaeka firnware kwenye website yao. download firmware halafu tengeneza folder la dload kwenye memory card then extract firnware humo then boot simu kwenye download mode itajiflash bila pc.
 
huawei wanaeka firnware kwenye website yao. download firmware halafu tengeneza folder la dload kwenye memory card then extract firnware humo then boot simu kwenye download mode itajiflash bila pc.

Ngoja nikomae muda huu, nitatoa feedback, natanguliza shukrani Mkuu
 
Kwa kutumia Computer?? Maana simu ndio imegoma kuwaka zaidi ya hapo kwenye Ua la Huawei tu

ɦʊtʊʍɨɨ ċօʍքʊtɛʀ ռɨ աɛաɛ tʊ ռa ʍɛʍօʀʏ ċaʀɖ ʏaҡօ
 
ɦʊtʊʍɨɨ ċօʍքʊtɛʀ ռɨ աɛաɛ tʊ ռa ʍɛʍօʀʏ ċaʀɖ ʏaҡօ

Shukran Kiongozi ngoja nijaribu, nitaleta mrejesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ