Kuanzisha shirika!

Kuanzisha shirika!

sunv

Member
Joined
May 19, 2020
Posts
44
Reaction score
33
Habari wakuu, Mimi ni kijana mwenye miaka 23, ndoto yangu kubwa baada ya kumaliza chuo ilikua ni kuanzisha shirika la kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu, pamoja na ufugaji wa kuku. Lakini changamoto yangu kubwa nina kiasi kidogo cha fedha, je itawezekanaje kulitimiza hili naombeni ushauri wenu wakuu. Nipo Mwanza
 
Habari wakuu, Mimi ni kijana mwenye miaka 23, ndoto yangu kubwa baada ya kumaliza chuo ilikua ni kuanzisha shirika la kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu, pamoja na ufugaji wa kuku. Lakini changamoto yangu kubwa nina kiasi kidogo cha fedha, je itawezekanaje kulitimiza hili naombeni ushauri wenu wakuu. Nipo Mwanza
Wewe sio wa kwanza. Na hautakuwa wa mwisho! Enewei njoo inbox manke hizi humanitarian firms ( NGOs au Fbos) zinatakaga sponsorship
 
Graduate wengi wakimaliza chuo hawana tofauti na watoto wa mtaani

So kabla hujaanza kulea mtu uwe una mudu kujilea. Mwenyewe
 
wazo la maskini


hata mamiss nao hisemaga hivo ngoja azipate au ashinde kitita ndo mtajua hamjui kuwa yale mawazo yao hata debate za form two hazioni ndani
 
Flow ya fedha kwenye NGOs na SBOs imekuwa finyu sana hasa baada ya COVID-19...USHAURI: Tafuta mradi wa biashara 'commercial' achana na projects hizo za kutegemea fundraisers...
 
Back
Top Bottom