Captain22 JF-Expert Member Aug 25, 2011 623 279 Jul 7, 2012 #1 Wadau heshima kwenu. Nimepata interest ya kuanzisha kampuni ya udalali au kama inavyojulikana dalali wa mahakama. Naomba kufahamishwa hatua mbalimbali za kufata ili nitambulike kisheria. Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Wadau heshima kwenu. Nimepata interest ya kuanzisha kampuni ya udalali au kama inavyojulikana dalali wa mahakama. Naomba kufahamishwa hatua mbalimbali za kufata ili nitambulike kisheria. Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Captain22 JF-Expert Member Aug 25, 2011 623 279 Jul 13, 2012 Thread starter #2 Wenye ufahamu please nisaidieni