Kuanzia leo sitotumia tena neno "mkuu" kwani hilo ni jina aitwalo Lucifer na wale wanaomwabudu

Blood of Jesus

JF-Expert Member
Sep 19, 2016
2,955
5,877
Kwenu wanajamvi,

Rejea mada tajwa hapo juu.

Leo katika kufuatilia maneno ya Mungu kupitia watumishi wa Mungu mbalimbali, nimekutana na Mtumishi wa Mungu ambaye huwa ninamkubali na katika mahubiri yake ndipo akaweka bayana kuwa neno au jina "Mkuu"/ "master " ni jina linolotumika kumuitia shetani/ibilisi (kwa wale wanaomfuata).

Hivyo basi kuanzia leo sitamuita mtu "mkuu" na pia sitaki mtu awaye yote aniite mimi "mkuu". Hii ni kutokana na ukweli kuwa ninamchukia mno shetani.
 
Kwenu wanajamvi:
Rejea mada tajwa hapo juu.
Leo katika kufuatilia maneno ya Mungu kupitia watumishi wa Mungu mbalimbali, nimekutana na Mtumishi wa Mungu ambaye huwa ninamkubali na katika mahubiri yake ndipo akaweka bayana kuwa neno au jina "Mkuu"/ "master " ni jina linolotumika kumuitia shetani/ibilisi (kwa wale wanaomfuata)

Hivyo basi kuanzia leo sitamuita mtu "mkuu" na pia sitaki mtu awaye yote aniite Mimi "mkuu". Hii ni kutokana na ukweli kuwa ninamchukia mno shetani!
Mwandiko kama wa komredi GENTAMYCINE
 
umewwzaji kuconnect neno mkuu mpaka ukalijumuisha kuwa limewekwa kwa ajili ya lucifer kisa umekuta kwenye andiko ameitwa hivyo?
Ndomana nikakuonyesha kuna umuhimu wa shule za kata ili kutanuwa uwelewa wa watu
Kweli acha tu shule ziongezeke hata kama kuna upungufu wa walimu... hata kama wapo wenye vyeti feki...

Kwa maana Mungu wetu ndiye "Mkuu" mwenye kusifiwa sana.
 
umewwzaji kuconnect neno mkuu mpaka ukalijumuisha kuwa limewekwa kwa ajili ya lucifer kisa umekuta kwenye andiko ameitwa hivyo?
Ndomana nikakuonyesha kuna umuhimu wa shule za kata ili kutanuwa uwelewa wa watu
Lakini kumbuka kuwa mambo ya rohoni hayahusiani na elimu dunia. Hapo nimeongea kiroho zaidi. Kama wewe sio "wa kiroho" hutonielewa.
 
Dah kikwete aliona mbali kujenga shule nyingi za kata,
Hakika
Kwenu wanajamvi:
Rejea mada tajwa hapo juu.
Leo katika kufuatilia maneno ya Mungu kupitia watumishi wa Mungu mbalimbali, nimekutana na Mtumishi wa Mungu ambaye huwa ninamkubali na katika mahubiri yake ndipo akaweka bayana kuwa neno au jina "Mkuu"/ "master " ni jina linolotumika kumuitia shetani/ibilisi (kwa wale wanaomfuata)

Hivyo basi kuanzia leo sitamuita mtu "mkuu" na pia sitaki mtu awaye yote aniite Mimi "mkuu". Hii ni kutokana na ukweli kuwa ninamchukia mno shetani!

Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom