Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,424
- 21,118
- Thread starter
- #181
Chicken headMada yako haijaeleweka kabisa....kuwa hutowaamini tena wanawake sababu ya bia moja ?!!!
Pitia uzi vizuri usikurupuke
Chicken headMada yako haijaeleweka kabisa....kuwa hutowaamini tena wanawake sababu ya bia moja ?!!!
Hahaa mkuu ukute huyo akipita mrembo anamtamani , Hawa ndo wanaishia kuwa addicted na sabuni, maana anaowatamani anaogopa kuwafata kisa kikiwa ni chukiHata ukiwachukia kiasi gani utawapenda tuuu, ndivyo Mungu alivyoumba.
HahahahaWe jamaa.....hiyo case study yako moja unakuja na General conclusion ya namna hiyo. Huna tofauti na magufuli mkuu
Teh teh teh teh teh tehMkuu unanifurahishaga sana maisha yako yanaendaga inverse na binadamu wengine, yaani yanaanzia uzeeni kuelekea utotoni.
Ulianzia ukiwa chuo kikuu unalalamika UMECHOKA KUPIGWA EXILE, UKAWA UNAJIFUNZA JINSI YA KUTTONGOZA, Ukafurahi ukasema HATIMAE NIMEPATA BOOM, ukafurahi ukasema MUHAS HIYOO NASUBIRI JINA TU, ukafurahi ukasema HATIMAE NIMEFAULU FORM SIX, ukafurahi ukasema WAKUU PCB ni ngumu?, juzi ukaanzisha thread ikisema NIMEPATA ONE YA KUMI FORM FOUR USHAURI NISOME MCHEPUO GANI,
Hapa nipo nawaza episode itakayofuata utakuja na thread kama hii NIMEMALIZA DARASA LA SABA B SEKONDARI NIENDE KAYUMBA AU PRIVATE??
Yaani kati ya comment ambazo mleta Uzi hajaziquote ni za namna hii ambazo zinamjumuisha mamaakeKwaiyo ata mama ako ni chombo cha starehe na nikirusi vile vile
Mkuu inaonekana wewe ni dhaifu sana. Vidume huwa hatulalamiki. Ukikutana na Mjanja kuliko wewe unakubali lushindwa kistaarabu unatulia kusubiri zamu yako uotee umvue chupi GOLI za haja kisha unasonga.Yani kuanzia leo mpaka narudi mavumbini sitakaa nimuamini kiumbe kinaitwa mwanamke
Kwanza ukitaka mambo yako ya kwame mshirikishe mwanamke ,ukitaka siri zako zivuje mshirikishe mwanamke
Wanawake wengi ni waongo waongo na hawana mapenzi ya kweli
Hamna kitu kinachouma zaidi kama kumpa mwanamke zawadi na hiyo hiyo zawadi umkute nayo rafiki yako .
Sitasahau siku nimeenda club moja inaitwa Kangaroo au Durban ipo karibu na Ambiance siku hiyo nilichukia saana kuna msichana aliniambia nimnunulie bia then nimbambie nikaona sio kesi wala nini kwani bia kitu gani ,nikazama mfukoni kidume nikamnunulia aisee bhana baada ya kumnunulia bia yule msichana akavunja makubaliano na akajifanya mkali saana na kudai nisimfate fate kwa kuwa yupo na bwana wake aisee niliumia saana yani at least basi angeniomba tu nimnunulie bia bila kuweka makubaliano yoyote ili mimi nijue nimkubalie au laaah ,hii ni kwa sababu mimi bhana hela ya kudhulumiwa huwa inaniuma sana kuliko hela ya kutoa kwa hiari yangu ,nina uwezo wa kumpa mtu hata elfu 50 na nisimdai lakini wakati huo huo ninaweza nikakosana na mtu kisa kanitapeli elfu moja.
Basi bhana mimi sikutaka kujibishana na yule dada as long as kakataa sikutaka kuendelea kumfata fata maana angezidi kuongea shit na mimi ningekasirika na kuanzisha fujo maana najijua nikikasirika huwa sizuiriki na pia mzee wangu ana jina kubwa saana hapa dar so angejua nimeanzisha fujo bar/club kisa msichana ninge m disappoint saana .
Huu ni mfano mchache ila ipo mingi ila kwa kifupi ndio hivyo nawachukia saana wanawake huwa nawaona kama inhibitors na nawachukulia kama chombo cha starehe
Kwa ambao mtakwazika nami naomba mnisamehe ila ukweli ndio huo siwapendi wanawake na hata kwenye group discussions akiwepo msichana naona kama kuna KIRUSI kimeingia hivyo niwe nacho makini
Kwa hiyo hata mama yako hutamuamini?Yani kuanzia leo mpaka narudi mavumbini sitakaa nimuamini kiumbe kinaitwa mwanamke
Kwanza ukitaka mambo yako ya kwame mshirikishe mwanamke ,ukitaka siri zako zivuje mshirikishe mwanamke
Wanawake wengi ni waongo waongo na hawana mapenzi ya kweli
Hamna kitu kinachouma zaidi kama kumpa mwanamke zawadi na hiyo hiyo zawadi umkute nayo rafiki yako .
Sitasahau siku nimeenda club moja inaitwa Kangaroo au Durban ipo karibu na Ambiance siku hiyo nilichukia saana kuna msichana aliniambia nimnunulie bia then nimbambie nikaona sio kesi wala nini kwani bia kitu gani ,nikazama mfukoni kidume nikamnunulia aisee bhana baada ya kumnunulia bia yule msichana akavunja makubaliano na akajifanya mkali saana na kudai nisimfate fate kwa kuwa yupo na bwana wake aisee niliumia saana yani at least basi angeniomba tu nimnunulie bia bila kuweka makubaliano yoyote ili mimi nijue nimkubalie au laaah ,hii ni kwa sababu mimi bhana hela ya kudhulumiwa huwa inaniuma sana kuliko hela ya kutoa kwa hiari yangu ,nina uwezo wa kumpa mtu hata elfu 50 na nisimdai lakini wakati huo huo ninaweza nikakosana na mtu kisa kanitapeli elfu moja.
Basi bhana mimi sikutaka kujibishana na yule dada as long as kakataa sikutaka kuendelea kumfata fata maana angezidi kuongea shit na mimi ningekasirika na kuanzisha fujo maana najijua nikikasirika huwa sizuiriki na pia mzee wangu ana jina kubwa saana hapa dar so angejua nimeanzisha fujo bar/club kisa msichana ninge m disappoint saana .
Huu ni mfano mchache ila ipo mingi ila kwa kifupi ndio hivyo nawachukia saana wanawake huwa nawaona kama inhibitors na nawachukulia kama chombo cha starehe
Kwa ambao mtakwazika nami naomba mnisamehe ila ukweli ndio huo siwapendi wanawake na hata kwenye group discussions akiwepo msichana naona kama kuna KIRUSI kimeingia hivyo niwe nacho makini
Ngoja aje wakati kazaliwa na sisi wanawakeYaani kati ya comment ambazo mleta Uzi hajaziquote ni za namna hii ambazo zinamjumuisha mamaake
Hawez kuquote maana ni aibu afu hana point ya kuongea maana hata mamaake naye ni mwanamkeNgoja aje wakati kazaliwa na sisi wanawake
bia tu ubandue??
bar mwanamke anabebwa kwa bia ya mwisho yule atakayemnunulia ya kukata ringi ndio ataondoka nae
Haijaondoa ukweli aliosema mkuibia tu ubandue??
bar mwanamke anabebwa kwa bia ya mwisho yule atakayemnunulia ya kukata ringi ndio ataondoka nae
Nahisi bado mdg sana kabia tu povuHawez kuquote maana ni aibu afu hana point ya kuongea maana hata mamaake naye ni mwanamke
Sidhani ila mke wake inawezekanaHata mama yako hutamuamini?
Nawachukia sio kidogo wanaboa sana wajinga japo nimeoPole mkuu,
binafsi ni mwaka wa 14 sasa na ugomvi wa kisaikolojia na hawa viumbe!
Mama yako nae pia ni mwanamke so ni inhibitor kama ulivosema unawachukulia wanawake kama inhibitors..... Dada zako pia ivo ivooo shangazi zako na mama zako wakubwa na wadogo.... Bila kumsahau bibi yako coz na wao pia no wanawake...... Kwa hivyo ukitaka mambo yako yasikwame usimahirikishe kirusi yoyote ( mwanamke) wa kwenuMama yangu kaingiaje?
Mimi naweza kuwa na mapenzi na mama yangu kweli??
Dada mbona unanitafutia ban isiyo ya lazima??
Aisee pole yao , mkeo , mamako na Dada zakoNawachukia sio kidogo wanaboa sana wajinga japo nimeo