Ingawa pwani ni sehemu ndogo ya nchi,
lakini pia ni nyumbani kwa Raisi Kikwete,pia
kutokana na ukaribu wao inamaanisha ana
baraka zote za mweshimiwa.
Najua watu wanajifanya vipofu,
kama Kikwete atashinda Uraisi tena ni kwa sababu
Democrasia fake na si vinginevyo.