Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
Hapana, inategemea huyo Yusuph Kikwete ni mtu wa namna gani na alijieleza vipi kwa wapiga kura wake.
Yaani nisingeona jina lako nisingetokea mitaa hii. Watu wanalinganisha ukwaju na mapera sasa.
Hapana, inategemea huyo Yusuph Kikwete ni mtu wa namna gani na alijieleza vipi kwa wapiga kura wake.
wewe mkulu shungurui,
unataka ashinde nani sasa? tupe mtu mbadala wa kumshinda JK tumpime hapa kabla ya yote.
Mbowe anaweza kuwa mbadala mzuri 2010 !!!!!!!.