Kuangalia TV bila king'amuzi

buhanda

Member
Jul 4, 2016
77
30
Wadau naomba kujua kuna uwezekano wa kuangalia TV bila king'amuzi kwa channels zote (azam TV, continental TV ,zuku TV n star times TV n TV za nje ) kwa kutumia flat screen TV ,
Kama kweli utumika nini?
Naomba kuwasilisha
 
Wadau naomba kujua kuna uwezekano wa kuangalia TV bila king'amuzi kwa channels zote (azam TV, continental TV ,zuku TV n star times TV n TV za nje ) kwa kutumia flat screen TV ,
Kama kweli utumika nini?
Naomba kuwasilisha
Haiwezekani mdau
 
Labda digital TV? Ziko free ila TV yako iwe inasupport digital TV reception
 
Back
Top Bottom