Simu yangu ina tv bila hata kupata software, ila TBC1 inapatikana ikiwa kama location settings yake ni nchi nyingne na sio Tanzania(shortly ni kuwa to get TBC1 signals u must set its location with a country which isnt Tz,eg Uganda, Pakistan etc), ikiwa umepata TBC ktk hizo nchi hutasikia sauti never unlike other stations ambazo hupatikana ktk location ya Tz na sauti husikika.